.NOLLYWOOD & AFRICAN PEOPLE's CHOICE AWARDS .
1. FAVORITE ARTIST OF THE YEAR
2. FAVOURITE SONG OF THE YEAR - NANA
Kumpigia kura ni rahisi sana tembelea link hii African NAFCA
kisha nenda...
wakuu nisaidieni ,, vifaa wanavyotumia kuchezea movies zao hasa Holywood unakuta wanatumia slaa nzito, vifaru, n.k.. je?? hivi vifaa wanapewa na nani??
Hayaaa sasa hawa ndo vijana tunaowataka katika kukuza mziki wetu hongera sana Diamond Platnumz kwa hatua uliyofikia kukuza mziki wa vijana na hongera kwa kuonesha nia ya kumsaidia tena msanii HAWA...
Karibia wasanii wote wanaofanya vizuri wametoka tu wenyewe huku wale ambao wameibuka kidedea kwenye vinyang'anyiro mbalimbali wakiishia hukohuko, nini sababu?
"When I Dream At Night"
I have been in love
and been alone
I have traveled over many miles
to find a home
there's that little place
inside of me
that I never thought could
take control of...
Toafauti ya kwanza kabisa, inayotofautisha kati ya KTMA na MTV Awards ni kwamba, kwa KTMA, msanii ana uwezo wa kutoka na kontena moja la tuzo peke yake na kwa wakati mmoja wakati kwa MTV ni ndoto...
"Bad Card"
You a-go tired fe see me face;
Can't get me out of the race.
Oh, man, you said I'm in your place
And then you draw bad cyard -
A-make you draw bad cyard,
And then you draw bad...
Wakuu muziki wa taarabu umeanza kuelekea pabaya zaidi tofauti na mwanzo ilianza taarab asilia ikaja #modern #taarab na sasa ni #modern #taradance.
Muziki umegeuka vijembe,matusi ya live yaso...
Wakuu kuna pumba wanalishwa kuwa Mondy ni msanii mkubwa Africa kuliko hata wakina Wizkid, cha kujiuliza ni kwamba kwanini hawajawahi kumpa show huko apige aingize mpunga zaidi tu ya show za event...
Leo nawaletea malkia wa hizi kazi Bi khadija Omar Koppa.
Napenda kuuliza mbona watu wengi wanaofanya Taarab wanachuja mapema lakini huyu mama
Decade to decade bado anasumbua mitaa,Yani yeye...
Waungwana
Kuna huu wimbo unaitwa "Riziki" ambao umeimbwa kwenye mahadhi ya Taarab. Sina uhakika na aliyeuimba, pengine ni Leila Salum au Latifa Salum.
Mwenye kuujua tafadhali anijulishe. Mke...
hiz ni tv series zilizo chini ya genius chuck lorre, jamaa ana asili ya israel na moja ya vitu vinavyofanya asifike ni hz series, 2 n half men kidogo ilichange baada ya charlie sheen kufukuzwa...
Katika mchezo huu, unapewa dakika 12 kuandika nchi zote katika box, moja baada ya nyingine.
Kila nchi unayoiandika inabadili rangi na kuwa ya kijani katika ramani.
Kuna nchi 196.
Ukimaliza...
Chibu Is A "Very Coward Artist".He Can Never Stand By Himself And Make A Hit-Song Without Backed Up By Nigerian Artists.For That Reason He Has No Legitimacy Of Being Classified As An International...
Wasalaam wana jamvi! Bila shaka sikuu imekuwa njema kwa kila mtu!
Leo kuna tukio kubwa kwenye tasnia ya burudani Africa nalo ni tunzo za MTV zitakazo fanyika Durban leo!
Wanamuziki wa tanzania...
sijaona msanii kama huyu duniani,almost five
years jela lakini anakimbiza industry ya dancehall
vibaya,najua wabongo wengi hawasikilizi dancehall
lakini kama unataka kumjua huyu jamaa ni pm au...