Jione hii leo nikasema ngoja niangalie Taarifa ya habari Clouds TV. Kweli ilipotimia saa tatu na nusu ikaanza kupiga mbiu yake ya mgambo kuashiria muda wa kupata News. Lakini baada ya kusoma habari ya kwanza iliyohusiana na ufunguzi wa Barabara ya Tegeta uliofanywa na Mheshimiwa Rais ikafuatia habari ya pili ya SIKU ya wazee.
Niimeiangalia hiyo habari hadi nikasahau kuwa nipo kwenye Taarifa ya habari kwani iligeuka kuwa kipindi maalum. Nadhani kwa wale watazamaji wa Taarifa za habari watanielewa ninamaanisha nini.. Ndio maana nasema NI BORA LIENDE
Niimeiangalia hiyo habari hadi nikasahau kuwa nipo kwenye Taarifa ya habari kwani iligeuka kuwa kipindi maalum. Nadhani kwa wale watazamaji wa Taarifa za habari watanielewa ninamaanisha nini.. Ndio maana nasema NI BORA LIENDE