Tujadiliane kwa facts,je ni kundi lipi kwa maoni yako ndo bora zaidi kuwahi kutokea nchini mwetu...
NAKO2NAKO~lord eyez,bou nako,g nako,ibra da hustlar, walitisha sana kwa hit songs zao kama...
Hebu tushare album kali za hiphop ambazo tumewahi kuzisikiliza...
1.illmatic ...Nas
2.Machozi jasho na damu... Prof J
3. Darubini kali- Afande sele
4. Blueprint 3- Jay z
5. Funga kazi .... HBC
WAKATI filamu ya kampuni ya Jerusalem ikisubiriwa kwa hamu sana na mashabiki wa filamu kutoka katika kampni hiyo, inayomilikiwa na Jacob Steven ambayo tayari ilishatoka na filamu kali kama...
Miaka Kumi Na Tisa Leo Tangu Kitokee Kifo Cha Aliekua Raper Wa Death Row Record Na Member Kiongozi Wa Kundi La The Outlawz Tupac Shakur Alieuawawa Kwa Kupigwa Risasi Kifuani Las Vegas Alipokua...
Wimbi la wasanii kutoa nyimbo zinazoikandia CCM limeshika kasi baada ya msanii mwingine kutoka Mbeya kutoa remix ya uliokuwa wimbo wake wa dini. Sipendi kuongea mengi ila pateni truck hiyo ina...
Wakuu habari. Sasa leo ni zaidi ya wiki kadhaa huwa namsikia huyu kijana wetu na ni msanii wa muziki wa dance JOSE MARA WA KIMARA kwenye kipindi cha Leo Tena cha clouds fm sasa wandugu naomba...
Jione hii leo nikasema ngoja niangalie Taarifa ya habari Clouds TV. Kweli ilipotimia saa tatu na nusu ikaanza kupiga mbiu yake ya mgambo kuashiria muda wa kupata News. Lakini baada ya kusoma...
Jana usiku nimeangalia filamu ya MTEMI ya JULY TAX.Kiukweli kama una roho nyepesi huwezi kuangalia hadi mwisho.Yaani inatisha sana.Unakuta upanga unaingia kabisa tumboni unatokea mgongoni live...
Ule wimbo wa mwanamuziki mashuhuri mwenye upeo mkubwa wakuandika na kughani kwa mahadhi ya Hip Hop msikilize hapa akimsupport kaka ake kimuziki ambaye kwa soko la muziki Tanzania yeye ni kinara wa...
Wadau anaye jua wapi naweza download nyimbo za kaswida anisaidie link tafadhali.au kama anaweza kuniwekea hapa jamvini ntashukuru!.msaada wenu muhimu wadau
http://m.youtube.com/watch?v=K84xhDTBKmA
Genesis kundi maarufu duniani kutoka Uingereza.
Watu laki tano walihudhuria hiyo concert, wanamuziki wa bongo munaweza kupiga live mpaka mtu...
Habari zenu wana MMU
Naomba kwa anayefahamu wapi naweza kupata collection ya CD/DVD mp3,yenye zaidi ya nyimbo 200 za mapenzi(slow/RnB/Pop/Blues etc) na zisiwe za kibongo kabisaaa...
Nipo...
wakuu niwasumbue kidogo, ninautafuta wimbo wa zamani kidogo ''Moro yapendeza'' wa moro jazz band nimeshagoogle sana, lakini sijabahatika kuupatana..
Nitashukuru sana.
Sijui lakini kwa upande wangu naona kama hii video storyline yake haina pirpose vile, coz ukicheki unaona kama wazazi wanardi home wanakuta nyumba iko hovyo kutokana na nahisi ni watoto wao...
wadau nipo jiji la kampala ni siku ya tatu sasa nipo hapa,si utani hawa kina sebho na nyabho wanajua kula maisha,kwa nilichoshuhidia kwa muda huu bongo tunasubiri