Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nilitamani muda wa vipindi darasani umalizike ili iweze kutimiza ahadi niliyokuwa naisubiri kwa siku nyingi. Mwalimu alikuwa akifundisha lakini ni kama nilikuwa sielewi wala sisikii alichokuwa...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Adolphe na ngai ngai na ye epa na yo Po o apaiser ngai motema unième fois Amour e rendre ngai veuve yo vivant Mon amour tue-moi une bonne fois Adolphe Aah Papa na leli réponds-moi pardon chéri...
8 Reactions
55 Replies
6K Views
Uvumi Unaenea Kuhusu ni nani anayeweza Kuchukua Nafasi ya Black Panther, huku kukiwa na tetesi zinaenea Hollywood kuhusu mustakabali wa filamu za Black Panther. Ingawa Marvel Studios haijatoa...
7 Reactions
85 Replies
3K Views
Nawasalimu katika jina la Bwana,Muumba mbigu na nchi na vitu vyote vilivyomo,vinavoonekana na visivoonekana. Ndugu zangu,ktk fumbo ambalo mwenyezi Mungu katuwekea basi ni usingizi,iwe tajir au...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Salamu kwenu nyote! Naomba nisianzie miaka ya 1990, kipindi ambacho ntakuwa natoa historia ya kusimuliwa au kusoma tu. Naanzia kipindi ambacho nilikuwa na uelewa mzuri wa mambo kwa kiasi fulani...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Ukiisikiliza hii nyimbo ya Salio utagundua kuwa Marioo yuko vizuri sana katika uandishi wa nyimbo zake. Salio ni nyimbo yenye mafunzo kwa mabarobaro waache kukimbizana na mikongo wakati mifuko...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Mficha uchi hazai/mificha maradhi kifo kitamuumbua na kuuliza siku zote sio ujinga. Hii nyimbo Ina miaka kadhaa Sasa lakini Kila ninapo zungukia kwenye sherehe hasa kijijini haijarishi iwe Kwa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
NDOA YANGU 😭💔 Sehemu ya ( 01) (Selemani Sele) Niliwahi kuambiwa kwamba katika maisha kuna mtihani ambao unazawadiwa cheti halafu kisha mtihani unafuata,na mtihani wenyewe huo si mwingine bali ni...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
JINSI MPIGA BAO (RAMLI) ALIVYOTIWA NGUVUNI Kutoka kitabu Masimulizi ya Mtawa Maporini kitabu cha pili. Unaweza kisoma bure ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo Playstore. Siku moja Juma aliniomba...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
SEHEMU YA 1 Danieli aliingia bila hodi,nyumbani kwa mpenzi wake alichokiona mbele ya macho yake aliamua kuyafumba, huku mwanaume aliyembele yake akiokota nguo zake kwa haraka zilizotapakaa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Leo nimesikiliza nyimbo za Chameleon kama Jamila, Naumia, Shida za dunia na nyingine nyingi, nmegungua kua EastAfrica itaichukua muda mrefu Sana au isipate kabisa msanii aina ya josee, kutunga...
3 Reactions
8 Replies
614 Views
SISTER P - ACHANA NAO. Nafungua ubongo natoa fikra za utumwa kichwani/ kipawa cha toka Kwa mola na wala sija tumia ubani/ sister p kupata chart watu wanadhani langu utani/ Rap biashara bwana...
1 Reactions
1 Replies
638 Views
Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha... Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu...
91 Reactions
3K Replies
492K Views
Katika dunia ya leo, vipindi vingi vya kisasa vinaanza kuingiza maudhui yanayoweza kupotosha maadili, hata kwenye burudani za watoto. Ni jukumu letu kama wazazi na walezi kuchuja na kuhakikisha...
3 Reactions
9 Replies
538 Views
Wadau. ebu tuzungumzie hii generation ya bongo movie ambao wao wamejikita kwenye mitandao ya kijamii hasa YouTube
0 Reactions
2 Replies
422 Views
KITOTO CHA AFU MBILI Mtunzi: Robert Heriel #+255693322300 Age. 18+ EPISODE 01 "Unafikiria nini Mpenzi" " Mmmh! Sio Jambo kubwa!" " Upo mbali Sana. Kama sio...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Filamu ya Like Stars on Earth ya mwaka 2007 ni moja ya kazi bora za sanaa zinazogusa kwa undani masuala ya malezi, elimu, na namna tunavyowahukumu watoto katika jamii ya kisasa. Imeongozwa na...
3 Reactions
0 Replies
448 Views
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili. Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende...
16 Reactions
234 Replies
8K Views
Wakuu Kwa yeyote anayejua, naomba msaada jina la wimbo unaosikika kama background kwenye podcasts za "Salama Na". Karibuni wakuu mwenye kufahamu wimbo huo.
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Wakuu Zuchu kaweka kikwazo, tusubiri Diamond kama atakivuka 😆 Staa wa Bongo Fleva, Zuchu amempa sharti la ndoa Diamond Platnumz ndio waweze kupata mtoto pamoja baada ya Nyota huyo kumuuliza kama...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom