Ngoma mpya ya kijana Ashley.
Kijana kuvunja mbaya ndani ya dakika 3
anadai flash yake ilipotea na mzigo wa album nzima so anazitoa mfululizo kabla aliyeokota flash ajaanza kuzi release moja baada ya nyinginewimbo mzuri sana tena sana ila dogo anakosea sana kutoa nyimbo bila mpangilio, itakuja kumcost baadae. halafu kuwatajataja wasanii wa kike wa bongo movie kwenye wimbo wake wala haikuwa na maana. bongo aina tension kabisa so aliowataja hawavutii tena nowdays. zaidi ya hapo keep it up to him. he deserve to be new kiba or dangote.
As long as zinawafikia mashabiki zake, sio mbayaNa hapo ndipo dogo anapo kosea
kama hivyo sawaanadai flash yake ilipotea na mzigo wa album nzima so anazitoa mfululizo kabla aliyeokota flash ajaanza kuzi release moja baada ya nyingine
amefunguka juzi cloudskama hivyo sawa