Ashley kaachia ngoma mpya, ipe sikio

Ashley kaachia ngoma mpya, ipe sikio

wimbo mzuri sana tena sana ila dogo anakosea sana kutoa nyimbo bila mpangilio, itakuja kumcost baadae. halafu kuwatajataja wasanii wa kike wa bongo movie kwenye wimbo wake wala haikuwa na maana. bongo aina tension kabisa so aliowataja hawavutii tena nowdays. zaidi ya hapo keep it up to him. he deserve to be new kiba or dangote.
 
wimbo mzuri sana tena sana ila dogo anakosea sana kutoa nyimbo bila mpangilio, itakuja kumcost baadae. halafu kuwatajataja wasanii wa kike wa bongo movie kwenye wimbo wake wala haikuwa na maana. bongo aina tension kabisa so aliowataja hawavutii tena nowdays. zaidi ya hapo keep it up to him. he deserve to be new kiba or dangote.
anadai flash yake ilipotea na mzigo wa album nzima so anazitoa mfululizo kabla aliyeokota flash ajaanza kuzi release moja baada ya nyingine
 
Back
Top Bottom