Jina langu ninaitwa Soka (sio jina halisi) na kwetu ni huko Moshi uchagani. Nilisoma kwa shida na kufanikiwa kupata elimu ya Sekondari na kisha kujiunga na mafunzo ya ualimu katika chuo cha...
Kuna utata bado kwenye ujio wa T.I
Kwa sasa jamaa wanahaha kutafuta wasanii kwa kuokotezaokoteza ambao hawakuwa kwenye list incase hali itakuwa mbaya mpaka dakika za mwisho.
Lakini kitanuka...
KAMBI YA NDALA.
MWANGAZA hafifu wa mapambambazuko
uliwafanya Luten Dennis Raymond Makete na wenzeke waonekane kama vivuli.Walikuwa katikati ya msitu wa Ndala wakienda mbio za mchakamchaka...
RIWAYA : KIAPO CHA JASUSI
SEASON 1
SEHEMU YA 1
MTUNZI:PATRICK CK
MAWASILIANO :0764294499
DAR ES SALAAM 20/04/2032..
Saa kumi alasiri muda ambao jiji la Dar es salaam...
Instagram: @sirizafamilia
Salaam Sana
Kwa wale wanaofuatilia tamthilia ya "Siri za Familia" (Family Secrets) inayorushwa EATV hii ni thread maalumu kuhusiana na Tamthilia hiyo.
Familia nyingi...
SEHEMU YA KWANZA.(utangulizi)
Sam, saam , samsoniii, huko unakoenda hakikisha unakula huko huko, maana huwezi kunisumbua kila siku , kwanini husikii weee mtoto Sasa nikwambie tu kuwa leo hakuna...
Nchi zilizo msitari wa mbele katika Ukombozi Kusini mwa Afrika zimetendewa mambo mengi maovu na Utawala dhalimu wa Makaburu... Hata hivyo halikupata kutokea tishio zito la kutisha kama hili...
Naifikiria miaka mia moja ijayo, au labda mia mbili au mia tatu!! Ni nini itakuwa hatma ya dunia? mbari ya binadamu (human race) itaendelea kutawala?
Mpaka kufikia siku ya leo, Tarehe 13 March...
Wanajamvi natumai nyote ni wazima wa Afya.
Ningependa tujumuike katika Uzi huu, kutaja ni Sinema ipi ambayo umeshaiona zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka.
Mimi binafsi movie ambayo huwa...
"BABA KAMA PUNDA JAMANI"
"KISA CHA KWELI, CHENYE KUSISIMUA"
Umri__
Naitwa Koga nimezaliwa mkoani Shinyanga vijiji
Mimi ni binti wa kisukuma, maisha yangu ukubwani
nikiwa binti mkubwa niliyaishi...
SEHEMU YA 1
Sitausahau mwaka 1978. Nina sababu tatu za kutousahau mwaka huo. Sababu ya kwanza ni kuwa kulitokea vita vya Kagera. Majeshi ya Iddi Amin aliyekuwa Rais wa Uganda yalivamia nchi yetu...
RIWAYA: UFUKWE WA MADAGASCAR
Mtunzi: Kelvin Mponda
SEHEMU: 2
Begi langu dogo la mgongoni lenye mifuko mingi yenye vipenyo tofauti ambapo mle ndani pia niliweka nguo
zangu chache muhimu za...
RIWAYA: MPANGO WA KONGO
NA, BAHATI MWAMBA
SIMU: 0758573660.
1
MAUAJI
Ilikuwa ni ndani ya majengo ya ubalozi wa Tanzania yalioko pembeni kidogo mwa mji wa mji mkuu wa Congo DRC katikakati...
SEHEMU YA KWANZA:
JINA langu naitwa Togolai Mahimba, ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa baba yetu, Sinai Mahimba ambaye kwa sasa ni marehemu. Baba yetu alifariki miaka mitatu iliyopita...
TUSKER PROJECT FAME (TPF6)
Leo mtanange bado unaendelea baada ya Eviction show ya jana,waliokuwa probation walikuwa wiki iliopita walikuwa
Fess - Kenya
Jennifer – Kenya
Michelle...
Ni muda mwingine tena tukutane hapa wale wapenda Muziki (Music) wenye asili ya Ki-kongo unaojumuisha:-
1:- Bolingo.
2:- Zouk.
3:- Sukuos.
4:- Kiringala.
5:- Kikasai.
6:- n.k
Kwa malengo ya...
Mimi si mpenzi sana wa hadithi ila hii nimeipenda nimeamua kushare na nyie ndugu zangu wa JF hasa wapenda stori za machombezo drama n stuffs like that tuwemo.
=======
Simulizi ya kweli: SHANGA...
SEHEMU YA 01:
Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa nimelala huku damu nyingi zikiendelea...
Then we went to Ocean drive for a lil' swim in the ocean.....i dont know why but the beach thing just aint for me....hahahahhahahayani i cant stand the sun on my skin for more than 10mins....yani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.