Umofia Kwenu wana JF,
Jua Changamoto alizopitia mwandishi "Henry Mdimu" katika Story yake ya Mimi ni Shujaa.
MIMI NI SHUJAA: PART 1
Uandishi wa habari ni kazi niliyoipenda tangu niko shule ya...
Sisifii siffii na sipendi mm ni mkazi jiji DSM.
Hupenda kutoka mtoko Kama kawaida ya Sana ukiwa DSM. Nimetembea nimelala,nimezunguka miji hakuna pub kama hii. Kiukweli DJ ndio ananisuuza zaidi...
Hii ni kazi ya Uandishi wa Maria Suriano wakati yuko field work nchini Tanzania mwaka 2007, hizi ni enzi za "DarHotwire" kama mtandao wa jamii wakati JF ndio imeeanza.
Angalia attachment...
Kwanza shikamoni wakubwa waliochini ya hapo habari zenu ndugu.
Kwa majina naitwa Aman Ibrahim mimi ni msanii na mwandishi pia wa nyimbo.
Kiukweli nina kipaji cha muziki japo naelewa kuwa wapo...
Aisee sikuwahi kujua kama wimbo wa Maria ulioimbwa na mwanamuziki Fally Ipupa umetoka miaka 4 iliyopita,mimi nilipousikia mwaka huu na ulipovuma sana nikadhani ni wimbo mpya kumbe ushakula chumvi...
Hii iko kwa wanaume wote au ni Mimi tu?
Yaani mm ni mchepukaji ila wa kutumia akili, siketi ikipita lazima macho yasindikize.
Sasa mke wangu hata nikikuta meseji ya mjamaaa hata wanaofanya nae...
Kisa Cha Rais Aliepo Madarakani Na Mmoja Wa Watu Wake Wa Karibu Serikalini.
Simulizi Iliyojaa Intelijensia Iliyochanganywa Na Diplomasia Na Kuunganishwa Na Kisasi.
A Breath-Holding Story
Isome...
Kusema ukweli hili ni jipya sana kwangu kuona Rais anacheza sinema na raia wa nchi nyingine.
Nilitarajia kuona sinema imechezwa na Watanzania tu, na kuongozwa na Watanzania, na si vinginevyo...
kifupi huu wimbo niliupenda sana, then ujumbe wake ukikua mkubwa. Alikuwa ni Abb skilz na Blue enzi za 2003. Napenda ule mstari unaosema " jua wazi nikikuona roho inadunda, nipo radhi ndugu zangu...
Jaguar mints Sh1.2 million By Pulse writer Updated Friday, February 21st 2014 at 10:11 GMT +3 0 inShare jaguar in nakuru With four concerts in three towns in a span of two days, philanthropic...
Huyu mama nyimbo zake matata sana.....utafikiri aliishi uswazi......ni mapenzi haswa
Millie Jackson - Leftovers - YouTube
Phillip, I know you said you`re leaving
But can`t we discuss this at all...
Jana zimetolewa tuzo za Sinema zetu..kulikuwa na contents nyingi za udaku hasa zinazomuhusu diamond na hamisaa..km umepitia social network Leo ndio habari inayotrend kwa kasi sana...BT wanashindwa...
What happened to Amplifier we used to listen maana naona jamaa siku hizi story zake ni za kidaku and all about Diamond Platnumz mara Diamond this mara Diamond that ujinga mtupu, come on Millard...
Hivi Millard Ayo kashasepaga Clouds au? Maana namsikia Musa siku ya 3 hii Amplifaya!
Leo nilichelewa kidooogo Kutune Amplifire Clouds Fm ila Nmekuta Baba ashibae Musa hussain Yupo Kwa Kiti cha...
Huu mchezo unaoitwa Crate Challenge ambao video zake zimeshika kasi katika mitandao ya kijamii hususan Tik Tok na Instagram huenda, kabla haujapoteza umaarufu wake, ukawaacha watu wengi na...
This is for my jazz heads in JF...najua hatuko wengi maybe 3 or 5 lakini this is the ultimate album everyone of us has to have.
http://www.youtube.com/v/pBpLKm8vw4M
Artist.....: Miles Davis...
MIKWAJU 50 KUTOKA KWA DUNGA
Nilianza KUSIKIA kazi zake akiwa na ndugu yake aitwaye SHAKII, huku wakisuka MIDUNDO mikali.
Miaka ikaenda, nikamsikia akifanya ushirika na LAMAR pale 41 RECORDS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.