KUHUSU "SEDUCE ME"
☆ Wimbo umetulia,unakupa mood ya kurelax...hakuna makelele na upayukaji wa kinaijeria
☆ Production nzuri hasa eneo la sound mixing
☆ Video nzuri, simpicity, originality...
Tukiwa tunasubiri ujio wa ngoma ya Diamond Platnumz na Patoranking itakayo tolewa rasmi wiki ijayo, WCB leo wameangusha ngoma mpya kali saaaaaaaaaaaaaana ijulikanayo kama Zilipendwa.
Humu wapo...
Mkongwe katika sanaa ya bongo flava miondoko ya HIP HOP bwana fareed kubanda amemlaum sana ommy dimpoz kwa kitendo alicho fanya ...ambapo ameelezea kisa kizima cha hadi Diamond kutaka Collabo...
Eti wadau embu tuambizane kidogo iyo nyimbo inatofauti gani na ile aliyoimba matonya, au kisa wao wameimba wengi???? yani wamekosa ubunifu wamekopi hadi jina la wimbo.
nadhani wasafi wameishiwa...
Eeh Baada ya KingKiba kurelease smash hit Seduce Me,leo jioni Diamond kaamua kuungana na team yake nzima ya WCB na kutoa ngoma inayokwenda kwa jina la Zilipendwa!! Ipi kali kwa maoni yako?
Sent...
Kama kichwa cha habari kinavyouliza nani kakopi mwingine?.
Mnijuze wakuu maana mie nipo huku kijijini KALINZI nimesikia zote zinapigwa muda huu kwenye redio mbao,Nikashindwa kujua ya nani...
Katika maisha yangu nimebahatika kuwa na kampani ya watu wa hulka na tabia tofauti tofauti.
Nimepata fursa ya kuhudhuria katika maeneo ya starehe ,sherehe harusi sehemu ambazo inabidi nicheze...
aliongea Baraka da prince wakati Ben Pal ametoa nyimbo TATU iliyokua mbovu na hata audiance haijaipokea vizuri kabisa kua ni Bora kumshauri rafiki yako msanii asitoe nyimbo kabisa kuliko kumsifia...
Wadau mimi siyo mfatiliaji sana wa series, ila nikiwa na muda huwa napenda kuangalia series zinazohusiana na ujasusi pia siasa ndani yake!
Mpaka sasa nimeangalia
1. 24 hours
2. Homeland
3...
Yeah.. Wakuu kama headingi inavyojieleza
Kwa ushabiki nilionao kutoka kwa King kiba nimeamua nianzishe huu Uzi
Ambao mashabiki wote wa king
Tutakuwa tunakutana uku
Kupeanda information mbali...
Yaan ukipita huko Istagram, Jamii forum, twiter wanaojiita mashabiki wa Alikiba wao ni kutukana matusi tu, wimbo umetoka mpya wao kabla hajacomment kitu anaanza na tusi! daah
Mziki haupo hivyo...
Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu
1.Video mbovu
2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo
3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi...
Mshikaji anasifika kwa kutoa ngoma zinazoishi na sifa kibao lakini apa amuna kwa kweli, yaani kaka umepuyanga kinoma ngoma mbovuuuuu sijawai ona, utafikiri kaimba underground.
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.