Karibu kwenye mzigo huu mpya kabisa,
By CK Allan
0746 266 267
Viumbe hatari... Dangerous creatures
1
Mwaka 2030
Sauti ya televisheni ilisikika,
nilikodoa macho kwa utulivu mkubwa nikiwa...
MOVIE KALI SANAA WANAJESHI WA MAREKANI WALIOMBA POOH 😂😂🔥🔥
Wamarekani walimuomba dokta atengeneze dawa ambayo itawafanya wanajeshi kwenye uwanja wa mapambano wasiweze kuonekana lakini mwisho wa...
Na D. Kingdon.
HADITHI YA WAKURYA WA TANGANYIKA
WAKATI ule mvua ilikwishaanza; lakini majani yalikuwa yangali makavu, ingawa sehemu zingine zilikuwa na majani mabichi. Vivuli vya mawingu...
Feeling nostalgic 🥺
Binafsi, wazazi walipenda mno muziki, nimekua nikisikiliza na kucheza muziki toka utotoni, memories ni nyingi.
Franco / Le TP OK Jazz - Mario...
Naongea na nyinyi mnaojiita wasanii wa nyimbo za Injili (Gospel Artists), vikundi vya kwaya na bendi. Nyinyi mnaotunga na kuimba nyimbo za Injili, nyimbo za sifa na kuabudu lakini maisha yenu ni...
Starehe - Ferooz & Prof J
“Starehe mnazipenda ila mwisho wake mbaya, wengi wameteketea kwa kuendekeza umalay**a , vipimo vinaonyesha ni kweli umeathirika, I am very sorry kupoteza nguvu ya Taifa”...
MOVIE KALI YA KUTISHA 🔥🔥
Mtoto wa AJABU movie Kali ya kutisha Sio kila mtoto wa kuishi naye wengine ni majini wazazi walijuta kwanini walimuokota huyu mtoto 🔥🔥🔥
Hii movie usipokimbia basi wewe...
Justin Kalikawe, ni moja ya waasisi wa muziki wa reggae ya Kiswahili. Na moja ya wasanii wa muziki wa Kiswahili waliosumbua sana mwanzoni mwa miaka ya 1990.
Justin Kalikawe, alitamba zaidi na...
Hi
Mimi binafsi huyu jamaa sikubaligi hata kidogo kwanza ana mdomo mchafu hana lugha mzuri mbele za watu hata kwa familia yake ilo lipo wazi
Chaajabu yanga wanaendelea kumbeba kwanini...
Leo nimewatoa madogo kwenda kuangalia movie waliokuwa wanaisubiria kwa hamu sana ya Minecraft
Aisee, sikujua kumbe leo ndio ilikuwa onyesho la kwanza nchi nzima
Huo Mzuka nilioukuta humo ndani...
By SHANWA, 1967.
SURA YA KWANZA
MGENI ANATOKEA
TEGU, mwana wa Goja, alisimama kwenye ardhi iliyoinuka ambayo iliyatenga mabonde ya Ugweno na Usangi, mahali alipozaliwa. Ingawa alikuwa mvulana...
RIWAYA: DHAHAMA
SURA YA KWANZA
Hali ya simanzi ilikuwa imetawala katika eneo zima la kasri la kupendeza la kifalme katika himaya ya Majichungu inayopatikana katika bahari ya...