Fikria nchi Moja Ya Ki Africa Ambayo Inafikia Hatua Hakuna Mtu Yupo Tayari Kukalia Kiti Cha Urais.
Soma Utangulizi Hapa>>>>>The Invisible Hands- Synopsis - Simulizi Africa
Sehemu Ya...
Hawa jamaa wapo vizuri,redio ina base la kutoshaa,mixing za ajabu zinafanyika.
Hawa ma dj sijui wametoka sayari gani sio binadamu wa kawaida
Unaweza sahau hata kwenda kuitizama Manchester...
Goli la kwanza[emoji15] {WAHEDA}....mbumbumbu wakasema "wametangulia tu"... la pili {ASHARA}...mambumbumbu yakajipa moyo tena"tumejisahau tu"...la tatu {THARATHA}...maboya yakasema "hiyo penati...
Wimbo mpya wa Mbosso "Tamu" umeshootiwa Mbeya, Iringa na maeneo kadhaa ya Nyanda za juu Kusini. Mazingira ni safi sana yametulia mnooo. Ama kwa hakika inavutia sana kuona Tanzania tuna maeneo bora...
mikia wanaulizana huko....kama makambo ni vile...huku je kuna makambo wangapi???.....poleni mikia maana hata komba anao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa Js saoura anaongoza goli mo bila dhidi ya al ahly. Dakika ya 75. Matokeo yakiisha hivi simba atakuwa anaongoza kundi hata kabla mech ya pili hajacheza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Yanga Heritier Makambo ametoweka katika klabu hiyo bila uongozi kuwa na taarifa yeyote.
Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa Makambo ametoweka na mabegi yake...
Katika filamu chache za kijasusi nilizotazama nimeona mfululizo wa filamu ya Jason Bourne ni bora zaidi, wadau wa movie za kijasusi kuna movie kali yenye mfanano na huu mfululizo?
Sent using...
ni aina ipi ambayo unahisi wasanii tuimbe na inapendwa,itaendelea kupendwa daima kati ya hizi!? GOSPAL au R&B,HIPHOP,ROCK,INSPIRATION,DRUM, LEGAE na freva ya kibongo!? na tuimbe kuhusu nini...
wakuu,,,,waheshimiwa na wadau heshima kwenu,,nipo hapa kuwaambia ukweri kuwa mimi ni msanii wa mziki wa kizazi kipya(bongo freva) kwa yeyote yule anayeweza kunisurpot kwa namna yoyote ile ikiwemo...
Kwa wale mnaopenda Hip Hop hii album ni MUST HAVE...
The King is rightfully back on his throne according to Soundscan. T.I.'s Paper Trail wheeled in close to 570,000 copies it's first week...
Kuna habali nimekutana leo katika .kuperooz .hizi ndio bar zinazoongoza kuwa na wateja wengi vijana na wazee kuliko zingine.....
1.Corner bar...hii bar ipo sinza ndiyo bar inayoongoza kuwa na...
Baba wa Msanii wa Bongo Fleva Ali Kiba, Mzee Saleh Kiba amefariki dunia alfajiri ya leo katika Hospitali ya Taifa Ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Taarifa zaidi za mipango ya...