Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
Assume we una kete hizo nyekundu halafu zamu yako kucheza je unafanyaje kukwepa kupigwa supa? huu mchezo ni british hauna kula kwa nyuma
mi nalidondosha hilo draft lenyewe halafu tunaanza upya hahahahaaNacheza hiyo halafu naenda kulala.
Kumbe hujui Draft kama mimi? Mbona iko wazi tu kete ya kusukuma ni hiyo.mi nalidondosha hilo draft lenyewe halafu tunaanza upya hahahahaa
Halafu ukisukuma hiyo whats next?Kumbe hujui Draft kama mimi? Mbona iko wazi tu kete ya kusukuma ni hiyo.
Halafu ukisukuma hiyo whats next?
Hizo nyekundu ni kete za jiwe na hizo za blue ni koroshow. Jiwe anaelekea kupigwa supa na koroshowAssume we una kete hizo nyekundu halafu zamu yako kucheza je unafanyaje kukwepa kupigwa supa?View attachment 994233
Kuna kete ya mwisho ukutani kule karibu neno "one touch" mkabala na kete ya blue.. sukuma ndani hiyo alafu ale kwenda mbele na we unamla nyuma, then unarudi nyuma kidogo na kete moja unaanza nayo kuangalia njia nyingine
hahahahahaaaKuna kete ya mwisho ukutani kule karibu neno "one touch" mkabala na kete ya blue.. sukuma ndani hiyo alafu ale kwenda mbele na we unamla nyuma, then unarudi nyuma kidogo na kete moja unaanza nayo kuangalia njia nyingine
yule mzungu nilulimvuaga nguo zote akanionyesha hadi udambwi,ila ilikua shughuli kweli kweliSorry mkuu hili ni draft mfumo wa kawaida au kama la Pc ukifungwa unachojoa nguo?! Kama ni Pc mode kazi unayo.
ukisukuma then what? mzigo wa moto huoKumbe hujui Draft kama mimi? Mbona iko wazi tu kete ya kusukuma ni hiyo.
hahahahaha....unazuga kama unajikuna akizubaa tu unaongeza keteHapo hamna namna tu hapo unaingiza kete mamluki kutoka nje, una apply principle za Jecha
Sent using Jamii Forums mobile app