Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,509
Guys!
Namshukuru Mungu kwa kufanikisha hili. Kitabu cha Dili la Dola Bilioni Nne nimekabidhiwa, kimeprintiwa vizuri mno, nitaanza kazi ya kuwafikishia wasomaji keaho. Nitaanzia Bunju, Tegeta, Mwenge, Posta, Mbagala, Tandika na Temeke.
Wale wa mikoani kama Dodoma, Morogoro, Zanzibar, Mbeya, Mwanza na Arusha mtalipia 12000 na kitabu kitafika kwa wakala wangu na mtakifuata ila kwa mkoa ambao haujatajwa, utalipia 15000 na utakipata kwenye ofisi za mabasi.
Namba ya kutuma pesa ni 0763986156.
CREDIT:Nyemo Chilongani(Facebook)
Namshukuru Mungu kwa kufanikisha hili. Kitabu cha Dili la Dola Bilioni Nne nimekabidhiwa, kimeprintiwa vizuri mno, nitaanza kazi ya kuwafikishia wasomaji keaho. Nitaanzia Bunju, Tegeta, Mwenge, Posta, Mbagala, Tandika na Temeke.
Wale wa mikoani kama Dodoma, Morogoro, Zanzibar, Mbeya, Mwanza na Arusha mtalipia 12000 na kitabu kitafika kwa wakala wangu na mtakifuata ila kwa mkoa ambao haujatajwa, utalipia 15000 na utakipata kwenye ofisi za mabasi.
Namba ya kutuma pesa ni 0763986156.
CREDIT:Nyemo Chilongani(Facebook)