Wimbo mpya wa 'Sina Maneno' by Samedali Afrika, mwanafasihi, sasa unapatikana kwenye mtandao wa youtube na mdundo.com
Sent using Jamii Forums mobile app
CHOMBEZO: TOROJO BAMIA( Winga teleza)
SEHEMU: 01
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500
TOROJO BAMIA( Winga teleza)
Ilikuwa mara ya pili akipita na ndoo kichwani...
Ziwa la Kreta la Oregon ni Ziwa Lililopo Katika Mji Mdogo wa Oregon Kaskazini Magharibi mwa Marekani Katika Mpaka wa Miji ya California ni Nevada.
Katika Mji huu inaelezwa Kuna Zaidi ya Maziwa...
Nyimbo za namna hii sijazisikiliza kitambo sana, atleast a breath of fresh air.
Sema amatukana sana, nasubiria clean version
CC: RRONDO , Wyatt Mathewson , Upiversity , ningendako , Cole...
Vlado Taneski Alikua ni Mwandishi wa Habari Maarufu sana Kwa Miaka 20 Kutoka Yugoslavia, Alizaliwa Mwaka 1952 na Kufariki Dunia June 23, 2008 Kwa Kujiuwa Mwenyewe Akiwa na Miaka 56 Ikiwa ni Siku...
Can't take your slogans no more,
Can't take your slogans no more,
Can't take your slogans no more,
Can't take your slogans no more.
Wipe out the paintings of slogans
All over the streets (ooh...
hello,JF
katika maisha ya kusoma o'level ama advanced level ni definition gani ambayo uliielewa sana na huwezi kuisahau?
kwa mfano mimi nilielewa sana na siwezi kuisahau definition hii;
commerce...
1. Fergie ft Ludacris - Glamorous
2. Akon ft Colby O Donis- Beautiful
3. Bruno Mars- Just the way you are
4. John Legend- All of me
5. Passenger- Let her go
6. T.I ft Keri Hilson
7...
RIWAYA;MAMA WA KAMBO.
MTUNZI;RAJA SAIDY
WHATSAPP;0756920739
SMS;0621047841.
UTANGULIZI
Katika siku hizi watu wengi uwalaumu mama wa kambo kwa sababu za kimsingi,ikiwemo na kuwanyanyasa wanao...
Wakuu,
Nimeona niwaletee mchezo uliotamba sana kwenye runinga zetu mwishoni mwa miaka ya 90 uitwao Tausi.
Ni ule wa akina Mzee Kasry, Sitti, Mjuba, Kalumanzira, Tina, Lindi, Vita, Joto, Rukia...
Eneo hili lipo Katika Mji wa Mapimi Kaskazini Kati Mwa Mexico, Linaitwa 'Zone of Silence" Yaani Eneo la Ukimya.
Eneo hili Linatajwa Kufanana na Eneo la Bahari la Maajabu la Bermuda Triangle...
Mamba huyu (Gustave) Anapatikana Katika Mto Ruzizi Unaounganisha Nchi Tatu za DRC, Rwanda na Brundi Kaskazini mwa Ziwa Tanganyika, Ametajwa Kuuwa Zaidi ya Watu 300 Wanaokatiza Katika Mto huo Mpaka...
Leo hii nimepigiwa simu asubuhi na mazungumzo yalikuwa kama hivi:
0688564622: Hello Habari
Mimi: Nzuri, Habari ya kwako
0688564622: Mimi ni wakala wa Vodacom Mpesa hapa dar es Salaam
Mimi: Ok...
Mnyama wa kkoo atavaana na huyu Mkongo hivi karibuni
Swali langu hivi TP Mazembe keshawah cheza hapa Taifa? Na timu gan? Mwaka gan? Na michuano gan?
Sent using Jamii Forums mobile app
CHRIS hakuweza kuvumilia zaidi, akatembea kwa haraka akitetemeka miguu. Alipowafikia akasimama na kuwaangalia kwa kuwakazia macho. Si Davis wala Pamela walioshtuka.
Ni kama hawakuona chochote...