Kamwene wakuu. Wale wadau wa simulizi na riwaya napenda niwakaribishe kufuatilia riwaya hii ya kusisimua inayoitwa 'Mkono wa Chuma', mtunzi wake akiwa ni ALEX KILEO. Karibuni wote...
the Legend☆
Na Bishop Hiluka
(Mwandishi wa stori za kusisimua zilizowahi kuchapishwa hapa JF za Kizungumkuti!; Laiti Ningejua!; Hekaheka!; Hadi Lini! na nyinginezo)
0685 666964
SAA 1:35 asubuhi, Samuel...
TABASAMU: WIMBO MPYA MSAMIATI ft. Jux & Steve RnB - Nyingine
TABASAMU: wimbo mpya wa Darassa ft Mwasiti - Ukipenda huoni
TABASAMU: LINAH AACHIA VIDEO YA FITINA
TABASAMU: Squeezer ft Ommy...
Wadau kama nilivyoahidi leo naanza kuishusha riwaya ya tai kwenye mzoga mpaka mtunzi atakavyonielekeza tofauti. Mtunzi wa riwaya hii ni yule yule KELVIN e. MPONDA. Wasiliana naye kwa namba...
Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.
Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake...
*NYIMBO BORA 100 ZA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA (BONGO FLEVA) ZA MUDA WOTE*
Imeandaliwa na Dkt. Mujwahuzi Rugayemukamu Mwenyekiti mwandamizi idara ya sanaa na burudani Chuo kikuu cha Dar Salaam...
Kisa cha kusisimua, ni kisa kitamu chenye mafundisho na kuburudisha pia.
Nimesoma visa na stori kibao humu ziwe ni dhahania au za kweli lakini zimenipa nguvu na faraja kuwa kwenye record...
Kama nilivyoahidi hapo jana kuwa mwandishi wetu wa riwaya ya mtutu wa bunduki ameniomba niwajulishe kuwa adithi yetu itaendelea kuanzia ijumaa ijayo. Hii inatokana na kutingwa na majukumu mengine...
Nimeisikiliza wimbo mpya wa Roma mkatoliki Leo
Nimependa pale anaposema ""Mungu wa daudi mungu wa Paulo na mungu wa yohana""""
Hio sentensi hapo naona inamajibu karibu yote ya kutekwa.
Rapa Roma...
RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi ( A Wizard Student )
MTUNZI: ENEA FAIDY
SEHEMU YA KWANZA
Ilikuwa ni majira ya saa moja jioni ambapo mkuu wa while ya Mabango alikuwa ofisini kwake akiwa amechanganyikiwa...
Haiyaaa haiyaaaa..........
Wale wadau wa hili game........ni msimu mwingine tena umewadia wa kuburudisha mioyo yetu........
Ni leo tar 5 Oct........saa mbili usiku kwa saa za kwetu bongo......(SA...
NI SHIIDA!
"Ha! Ha! Ha! Huyo binti yako anaitwa nani?"
"Ah! Achana naye, naona hasira hata kulitaja jina lake," alisema mama Juliana huku akionesha hasira za waziwazi kwa binti yake huyo.
Muda...
Kama umeangalia angalia hizi movie nisaidie nijue ipi nzuri niitafute, naweza Google lakini ntakuwa sina uhakika kama itakuwa nzuri, nahitaji za dizaini ya troy, alexander, braveheart, 300...
Tujikumbushe movie za Kihindi zilizotubamba enzi hizo. Aishwarya Rai, she is called the most beautiful woman in the world
WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUFAHAMISHWA FILAMU HIZI
Habari ya weekend...
Simulizi: NGUVU YA MAPENZI
Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
Mdada mmoja mrembo sana aliyeitwa Angel alionekana siku hii akiwapeleka wadogo zake kuripoti...
Imeandikwa na Lello Mmassy
UTANGULIZI
Naitwa Joseph Kaduma Ndani Ya Serikali Ya Nchi Ya STANZA Watu Hupenda Kuniita Joe.Nina Nusu Saa Tu Ya Kuamua Kati Ya Maisha Yangu,Familia Yangu Na Utajiri...
Habari zenu wakuu. Poleni sana na siasa za gonga kichwa za nchi hii.
Baada ya kumaliza simulizi yetu ile tamu ya BARADHULI MWENYE MIKONO YA CHUMA, sasa basi nawakaribisha kwenye kigongo kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.