PATA NYIMBO MPYA KABISA KWENYE SIMU YAKOo

Kaka kazi nzuri ila ina mapungufu ya kurekebisha kidogo baada ya hapo hawatakukamata kwa ukali ni hivi, vichekesho siyo vibaya ila kwenye nyimbo hasa za dini bado sana jaribu kuongea na maredio ya dini wakugawie maana nyimbo ziko nyingi sana na nzuri pia kwa za kiingereza ukifungua hazifunguki kirahisi kama bongo fleva na zilipendwa ndiyo kabisa na hizo ndiyo nyimbo adimu mtu kuzipata kirahisi madukani hivyo ukiweza wewe kuwa nazo utakuwa umetukamata wote binafsi nakuweka kwenye list yangu nitakutembelea kila mara nione kama kuna mabadiliko. Asante
 
kaka kazi nzuri ila ina mapungufu ya kurekebisha kidogo baada ya hapo hawatakukamata kwa ukali ni hivi, vichekesho siyo vibaya ila kwenye nyimbo hasa za dini bado sana jaribu kuongea na maredio ya dini wakugawie maana nyimbo ziko nyingi sana na nzuri pia kwa za kiingereza ukifungua hazifunguki kirahisi kama bongo fleva na zilipendwa ndiyo kabisa na hizo ndiyo nyimbo adimu mtu kuzipata kirahisi madukani hivyo ukiweza wewe kuwa nazo utakuwa umetukamata wote binafsi nakuweka kwenye list yangu nitakutembelea kila mara nione kama kuna mabadiliko. Asante

usipate shida mkuu nipe siku mbili tu ntaongeza za dini za bongo ila za mamtoni ntaweka table ambayo mtaweka jina la msanii na kupata nyimbo zote kama hiyo haitoshi utaweka jina la nyimbo na kisha itaingia moja kwa moja kwenye simu zenu
 
usipate shida mkuu nipe siku mbili tu ntaongeza za dini za bongo ila za mamtoni ntaweka table ambayo mtaweka jina la msanii na kupata nyimbo zote kama hiyo haitoshi utaweka jina la nyimbo na kisha itaingia moja kwa moja kwenye simu zenu
katika watu ninao wakubali hapa jf na wewe nakuweka kwenye list.kwa maana hiyo nakupa mia.mia
 
yaap,,datz gud thng bro ila nyimbo za bongo mzaz nyingi sio mpya!!!congratulation lol make it happen
 
Naomba unitafutie audio ya hii nyimbo,
ARTIST_FLAVOUR
SONG_NWA BABY (ASHAWO)
ALBUM_N'ABANIA.
 
CLICK HERE NOW <a href="http://BONGOMP3.XTGEM.COM" target="_blank">BONGOMP3- Download miziki mipya ya bongo | Bongo flava, nyimbo za dini, boringo, taarabu, zilipendwa na VICHEKESHO</a>
<br />
<br />
Securiiityyy..! Ah sorry COSOTAAAA...arest this guy plz.
 
Back
Top Bottom