Achana na jamaa anaependa kujiita King,,haja Fanya kitu chochote kwenye Rap Game ya Bongo,,but kwa Ngosha,Bandidu,Jasiri.,mwanamalundi..ndio Real MC kwenye Game,,size yake wengi wapo hoi kwa...
Habari wanajamvii.
Ndugu zangu mlioajiriwa poleni hii mvua na kazi unatakiwa kuandika jina kwenye attendence kweli poleni sana na kamshara kamegomeshwa kweli tunaisoma number...!
Sisi ndugu...
Leo naumwa ugonjwa usiojulikana na umesababishwa na mtu asiejulikana .maombi yenu Tafadhali nimeshindwa kuamka kabisa.
Nimekutana na hii movie kwenye vitu vyangu niliicheki kitambo nimeona...
Wana JF
Eti ule wimbo una sema "sijui usilete stori zako za kubet..... "
Then kuna sehem ansema tena "majeruhi kwenye ajari anaomba selfie"
Unaitwaje huwo wimbo
Mwenye kujua
Adrop comment
Ahsantee
IMBANAMIMI AFRICA 2018.
Kama una unakipaji cha muziki na unataka kuwa kama, au kuimba na msanii yeyote superstar TANZANIA na AFRICA unaweza kutumia simu yako ya mkononi kujirecord video au audio...
Watanzania habari ya Muda huu.
Naomba Msaada juu ya Hili suala.
Miaka ya 2000 hivi kulikuwa na Filamu za Kitanzania Zilizokuwa zikionyeshwa TBC, wakati huo Nadhani ilikuwa TVT. Kulikuwa na...
Bila kubisha naamini Africa ni bara lenye wanawake wazuri sana japokuwa linasumbuliwa na matatizo mbalimbali. Hii ni orodha ya nchi zinazoongoza kwa wanawake wenye mwonekano mzuri zaidi.
10...
Hakuna ubishi kuwa Alli Kiba ni mwanamziki aliyekulia ktk maadili ya imani ya kiislamu ambayo kimsingi kwa mujibi wa imani hiyo mziki ni haramu na hili Ali Kiba analijua kwa7bu amekaa...
Sisi wengine ni wapenzi wa Mziki japo mara moja au mbili kwa juma. Zamani nilikuwa naenda club/bar kuanzia Ijumaa lakini sasa nimepunguza sana. Pengine mara moja au mbili kwa wiki. Na kwa hakika...
Asiye na mwana aeleke jiwe ndivyo ninavyoanza kusema kuhusu mechi ya leo kati ya watani wa jadi. Timu zote mbili zisibweteke kwani zina nafasi sawa yeyote anaweza kuwa mshindi. Likini yule...
Ktk moja ya nyinmbo za marehemu Mbarak wa Morogoro, anayataja makundi yaliyokwenda kwenye Expo70, Moja ya kundi hilo ni wanasanaa wa Chuo kikuu, akimaanisha chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Naomba...
SHAIRI
UTANI WA JADI YANGA NA SIMBA
Leo siku imefika
Siku tuliyoitaka
Mwali wetu atatoka
Bikira tutamtoa
Ukweli ninatamka
Malengo tuliyaweka
Kwa mwali kumualika
Tupate jifaidia
Msimbazi...
Ndugu,
kama mjuavyo mwaka 2015 , 16 kulikua na action movies za maana zilizo jumuisha
john wick,
unlocked
u.n.c.l.e
spy
kingsman secret service
rogue nation na nyingine nyiingi kama hizo ila kwa...