Mkuu daaa naangalia wanasema tu aluata aluata jamaa anamaanisha kuwa Egypt goal linafuata ama maan kiarab shida asee
Kiarabu lakini
Mkuu mbna inaonyesha au nenda youtube uandike tu Egypt vs Tanzania utaiangalia fresh ila hv sasa half timeMbona sioni kitu
Tumepigwa mangapi hadi sasa?Mkuu mbna inaonyesha au nenda youtube uandike tu Egypt vs Tanzania utaiangalia fresh ila hv sasa half time
Hahahaha mkuu mbna unakimbilia kupigwa tu bado bana labda tutaona mbalamwezi leoTumepigwa mangapi hadi sasa?
Hahahaha mkuu mbna unakimbilia kupigwa tu bado bana labda tutaona mbalamwezi leo
Ila kiungo hatuna pale hata hvyo hawakuwa serious tu mbna tungekula nyingi leo
Labda wa Misiri watuonee huruma ili tusipanic
Matokeo yakoje sasa....Ila kiungo hatuna pale hata hvyo hawakuwa serious tu mbna tungekula nyingi leo
moja bila dk 64 goal egyptMatokeo yakoje sasa....