Ama main character aliyetumia akili sana kwenye series ni MICHAEL SCOLFIELD jamaa alicheza vizuri sana series hii ila hata kwa ujumla mtuzi wa hii series alitumia akili kubwa sana achana na haya...
Mchezaji wa PSG na taifa la Brazil atakuwepo kwenye series ya Kihispania ijulikano Kama 'La casa de papel' au (Money Heist)
Ikiwa bado kuna mazungumzo ya kumhamisha Neymar kutoka PSG kurudi...
Nimeona nilete huu Uzi hapa kutokana na movie nlio kua naiangalia sijaielewa kabisa
Ati movie imeigizwa maabusu Kuna ubao wa chaki .. he hili Ni kweli?
I am in love with a girl for like two years now. I met her when I was in high school. It was love at first sight. I simply couldn't take my eyes off her. But I hid my feelings for her, since she...
Salaam wakuu, naombeni msaada wimbo wa extra bongo wa kitambo kidogo una maneno haya..."extra bongo wana bongo, sisi sote tuko fiti tunajinafaasi ooh ooh mama..."
Nimeutafuta bila mafanikio...
Kama Heading inavyojieleza naomba mwenye namba ya Tuwa au Dada mtu ( ambaye nilikuwa nawasiliana naye bahati mbaya nimepoteza simu yangu ). Natanguliza shukrani kwenu wakuu
Wakuu,
Nakiri huu wimbo nimeanza kuusikia kwa Mara ya kwanza Jana,lakini kumbe una zaida ya mwaka mmoja ila sikuwahi kuusikia,labda kwakua hua si mfuatiliaji sana wa bongo fleva,kumbe aliimba...
DUDU WASHA 1 Episode 1-4
-UTANGULIZI-
Ni mwalimu mkuu wa kike katika shule ya msingi Tundu aliyefahamika kwa jina la Walda Nyaongo,,shuleni hapo alikuwa akiwafundisha somo la hesabu darasa la...
Wakuu Kwema,
Miaka ya 1980 katikati Mwanadada Sofia George aliibuka na kibao chake kikali kinachokwenda kwa jina la Girlie Girlie ambapo alikua akimshutumu mpenzi wake kijana kua ni mpenda...