Enomike by Ziggy D ft FatmaEnomike mwenye wimbo nmemsahau ila alishirikishwa fatma wa napenda nn (jafarai)
Sent using Jamii Forums mobile app
Inomic msanii wa Uganda anaitwa Ziggy D.Enomike mwenye wimbo nmemsahau ila alishirikishwa fatma wa napenda nn (jafarai)
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha mbali sana.... those days when bongo fleva was real.Wale East Zoo walikuwa wakiamua kufanya kazi moja kwa pamoja walikuwaga sumu..
Hapa Ngwair, Pale Noorah mzee wa Ice Cream, Huku unamkuta mzee wa kikuku cha Mama Roda. Zamani ilikuwa flavour kweli..
Watu poli watu wa morogoro wakiongozwa na Afande wa darubini kali huku chorus akishika mdogo Dito aka Digital
Wakati huo wanaume wanapiga mapanga shah na sio watoto wa keko wanaokata miuno kwenye singeli kama wanawake, naskia sku iz wanamwagiwa na maji kabisa.
Kulikuwa na wateule, wazee wa muziki ulioenda shule, wakiongozwa na Jaffaray, Mo teknik na muhuni Mchizzi Mox
Finally kulikuwa na mabishoo wa mjini East Coast..hawa siwataji maana bosi wao aliiba style ya kurap kwa DMX
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa wanapigwa na vindoo vya maji wakiwa wanazungusha mauno.....hahahaaa siendi Dar haki ya naniWale East Zoo walikuwa wakiamua kufanya kazi moja kwa pamoja walikuwaga sumu..
Hapa Ngwair, Pale Noorah mzee wa Ice Cream, Huku unamkuta mzee wa kikuku cha Mama Roda. Zamani ilikuwa flavour kweli..
Watu poli watu wa morogoro wakiongozwa na Afande wa darubini kali huku chorus akishika mdogo Dito aka Digital
Wakati huo wanaume wanapiga mapanga shah na sio watoto wa keko wanaokata miuno kwenye singeli kama wanawake, naskia sku iz wanamwagiwa na maji kabisa.
Kulikuwa na wateule, wazee wa muziki ulioenda shule, wakiongozwa na Jaffaray, Mo teknik na muhuni Mchizzi Mox
Finally kulikuwa na mabishoo wa mjini East Coast..hawa siwataji maana bosi wao aliiba style ya kurap kwa DMX
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa kumbe ni kauchochoro flan tu hapo darMuziki wa zamani ulikuwa umejaa ujumbe saaaana...
Kama Ngwair aliimba mikasi na bado ilikuwa na ujumbe.
Daz nundaz wakaimba Elimu dunia, na wengine kibao
Ilifikia point hadi jamaa wa kenya na uganda wakaamini TMK ni bonge la city
Sent using Jamii Forums mobile app