Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Naomba kuuliza nitapata wapi game pad za pc. Nipo Arusha
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Shalom wana wa Mungu Jumapili ya leo nimeamua niitumie kuyatoa ya moyoni juu ya muziki wa injili hapa Tanzania. Ki ukweli hawa waimbaji wa siku hizi wa injili wamakera sana na nachelea kusema...
7 Reactions
79 Replies
8K Views
Msanii, mwanamapinduzi, mpinga ubaguzi na mtetezi wa haki za watu ambao daima wamekuwa wakionekana wanyonge Lucky Philip Dube, ambaye alifariki dunia Alhamisi ya Oktoba 18, mwaka 2007, baada ya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimeamini kuwa ili uchukiwe wewe fanya kazi kwa bidii kisha ufanikiwe na naweza kusema kuwa watanzania tuna wivu sana kwa waliofanikiwa hasa kama ametokea familia masikini kisha kwa juhudi zake...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
my best Actor Jonny Depp
5 Reactions
38 Replies
15K Views
Nimejaribu kuangalia baadhi ya movies za wenzetu nimegundua kuna utofauti mkubwa wa movies zinazozalishwa na makampuni tofauti ya Marekani Mimi binafsi napenda Muvi iliyotengenezwa na The...
1 Reactions
147 Replies
21K Views
Salaam wakuu, Naanzisha uzi huu maalumu kwaajili ya kurate movies ambazo tumeshaziwatch, ni kama our own version ya rotten tomatoes au IMDb. Nikianza na avengers endgame, binafsi nairate 6.5/10...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Muziki wa zamani ulikuwa na burudani ya aina yake. Mbali ya utunzi mahiri na uimbaji hodari, nyimbo nyingi zilitungwa kuelezea visa na mikasa iliyowahi kuwakuta wasanii husika. Kupitia uzi huu...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
VERSE: Old pirates, yes, they rob I, Sold I to the merchant ships, Minutes after they took I, From the bottomless pit, But my hand was made strong, By the hand of the Almighty. We forward in this...
16 Reactions
130 Replies
11K Views
Wakuu habari za morning. Niwashukuru sana kwa kupeana burudani ktk hili jukwaa letu pendwa. Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni kwa atakaye jaliwa anipe movie ya MONKEY KINGDOM Iliyotafsiriwa...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Kubali Matokeo! Ilikuwa mapema sana asubuhi, mitaa ikiwa safi na isiyo na watu, nilikuwa nikitembea kwenda stesheni. Wakati nikilinganisha muda unaosemwa na saa ya kwenye Mnara wa Saa na ile...
2 Reactions
2 Replies
914 Views
ni nyimbo nzuri kwakwel anajaribu kuonyesha ni jinsi gani anamapenzi ya dhati kwa mpenzi wake
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Ee bwana najua kila kabila wana nyimbo zao ila za hawa watu zimekuwa nyingi mno! Kuna jamaa yangu huwa anajishughulisha na kazi za u-DJ, aliwahi kuniambia akialikwa kutumbuiza kwenye sherehe zao...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA IMEANDIKWA NA : LEICESTER PETRON CHANZO : BURE SERIES SEHEMU YA KWANZA Kawaida kwenye maisha tunakumbushwa kupenda kujituma kwa bidii zetu zote pale tufanyapo kazi zetu...
1 Reactions
12 Replies
65K Views
Simulizi za Majonzi ▼ NILIMUUA NIMPENDAYE (I KILLED MY BELOVED ONE)- 1 Jina langu naitwa Eunice, mtoto wa tatu kati ya watano wa familia ya baba yetu, mzee Ansbelt. Nilizaliwa miaka 26 iliyopita...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kati ya avengers zote ipi ilikuwa kali? Ni avenger yupo ulimkubali sana kwa upande wako?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi..Movies Watchers Kuna muda unaangalia muvi hadi unajuta kwanini umeangalia muvi hiyo.. Hebu taja muvi mbaya uliuowahi kuiona. Mimi zangu. Captain Marvel. Jao ni muvi iliyoingiza kiasi cha...
3 Reactions
212 Replies
20K Views
Tuambiane! Whats your best love song? Like listening to it. Whether alone or with your love! Maana nyimbo zinahusika sana! Kwangu mimi, za kizungu 1. My endless love ~Diana Ross & Lionel Richie...
2 Reactions
137 Replies
11K Views
Bado sijajua kama vile vilikuwa ni vionjo na madoido ya ule mwimbo au ni kitu kingine tofauti. Aliyeshuhudia kwa umakini na uhakika atujuze tafadhali!
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…