Hivi ni vifaru vilivyokuwa maarufu wakati wa WW2. Ni M4 Sherman cha marekani na PanzerKampf wagen au kwa kifupi ni Tiger Tank. Hivi Tiger Tanks vya kijerumani ndio vilikuwa vifaru bora na...
Video inaanza kuna mwanamke amevaa mavazi ya chui anatembea kwa miguu minne kama chui halafu anakutana na wanaume watatu nakumbuka alifanana kama jason dalulo ila nimetafuta katika nyimbo zake...
Siku moja asubh na mapema! Nikiwa naenda kwenye biashara yangu! Nilikutana na mzee mmoja akiwa na wazee wengine akaniita akaniambia
Kijana njoo: inaonekana una Mungu sana maana hata kutembea kwako...
Pongezi ya kwanza iende kwa mwandishi wa vitabu Stephen King.
Hii muvi imetolewa kwenye kitabu cha bwana Stephen King kinachoitwa Rita Hyworth and Shawshank.
Waigizaji waliopo ni pamoja na
Tim...
Ilikuwa ni miaka 12 iliyopita siku ya tarehe 28/04/2008 katika shule ya KANTALAMBA BOYS SEKONDARI iliyoko katika manispaa ya SUMBAWANGA, siku ilianza kama kawaida kwa wale waliosoma shule za...
Wadau habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale.
Pasi na kupoteza muda nataka ku share Mambo fulani fulani ambayo binafsi huwa nayazingatia ninapotazama filamu yeyote ile.
Ipo hivi, wengi...
Baada ya sifa nyingi nikaamua kulipia wasafi ili nione nini kipya
Dah! Target yangu ilikua nianze na kipindi cha BIG SUNDAY LIVE.. nimesikitishwa sana kwa tv chanel inayosifiwa sana na vijana...
Habarini wakuu, nitakuwa hapa kuwaletea simulizi hii "Niacheni nikufuru" mpaka pale itakapoisha. Yote itaishia hapahapa Jukwaani.
Kila siku nitakuwa naachia kipande kimoja kulingana na maelekezo...
Habari zenu wakuu naomba msaada wa beat ya wimbo huu wa y-tjukuta ulioimbwa na kikundi cha uhuru toka SA. Nimejaribu kuutafuta mtandao lakini sijafanikiwa, ntashukuru endapo nikiupata
Waandishi wa filamu walikuwa na vionjo vyao katika maisha ya mateso ambayo mtazamaji anaweza jikuta anamwaga machozi wakati anaangalia filamu.
Hali hii ilikuwepo hata Tanzania kipindi filamu...
Movie hii inaitwa "Cannibal Holocaust" Itafute
Ni movie yenye kutisha mno na matukio yake yakiwa kama yana ukweli ndani yake. Baada ya movie hii kutoka Director wa movie hii alikamatwa na...
Hizi chanell hapo chini nimeangalia video zao zote walizo upload
1.just4laugh gags
Hawa ndiyo wa Kali wa zile prank dunia nzima hakuna Kama Hawa
2.Drew Binsky,
Hii ni travel vlog huyu jamaa...
Unapozungumzia ulimwengu wa burudani basi industry ya filamu imetutendea haki sisi ambao ni movie goers.
Hivyo basi kuna watu wamejaaliwa katika kuunda script za story hadi inatengenezwa movie...
Habari Wakuu za Wakati huu? Natumaini wazima wa Afya.
Okey, Mimi bwana katika Wanamuziki ninaowakubali ana Mmoja wapo ni huyu Bwana Oliver Ng'oma, huyu jamaa tumuache tu,
Nikiwa nipo home...
Kama unataka kuskiliza wimbo utakaokutoa stress either za kutemwa na pisi yako au kudaiwa kodi, ama ada ya shule ya mtoto tarehe 29 ..
Basi tafuta huu wimbo.
Ibrahnation -naamini.
Thank me later...
Wasalam....
Huu mziki nimeanza ufuatilia kitambo sana na nimetokea kuukubali sana. Huwa nazielewa sana zile Booming Basses(808).
Baadhi ya midundo ninayoikubali ni hii hapa.
1. Meek Mill -...