Habari wana jamvi, kama umepata kusikiliza wimbo wa marioo na country boy utakua unajua jinsi gani wameua kwenye hilo goma.
Wimbo ni mkali sana na wametembea kwenye beat vizuri
Muandishi:- Joseph .D. Migini
Call/txt:- +255766604683
Josephdeo70@gmail.com
Ndani ya chumba hichi cha wastani kilichoja samani za kufanya kuitwa sebule ya kisasa kwa waingiao. Nilikuwa nimeketi...
Jana Jumatatu Mei 3 saa 1.30 usiku ITV wameanza kuonyesha tamthilia mpya iitwayo UZALO.
Kwenye tamthilia hii waigizaji hawajatafsiriwa zikasikika sauti za Kiingereza kama ilivyokuwa kwenye EGOLI...
Kwa tuliokua Teens miaka ya 1990, Koffi Olomide alikua ni mwanamuziki ambaye tumesikiliza na kucheza sana nyimbo zake. Binafsi, album yake ya V12, yenye nyimbo kama Andrada, Bambino, Aspirine...
Mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya ameonesha kukerwa na kitendo cha Mgombea Urais kupitia Azimio nchini Kenya, Raila Odinga kumwalika Diamond Platinumz kufanya show kwenye kampeni zake leo...
Huwenda hii ndio animation itakayouza Sana mwaka huu na Kali pia
Imesetiwa na director Kyle Balda
Ndan ya studio kuna watilia sauti magwiji kama Dolph iandeni, Michele yeoh na Claud Van damme...
Baada ya kushindwa kutoa burudani Agosti 8, 2022 kwenye Ukumbi wa Next Door Arena, msanii Kizz Daniel kutoka Nigeria alikamatwa na polisi na kuweka kituo cha Oysterbay jijini Dar es salaam.
Leo...
Wakuu salamu
Husika na Title ya huu uzi.
Tuzo za muziki za Tanzania zinatolewa usiku huu ikiwa ni miaka 7 imepita bila uwepo wa Tuzo hizi nchini Tanzania, tuzo za mwaka huu zinatolewa kwenye...
Habari za leo Wakuu!
Leo nakuja na uzi maalumu kwa wote wanaohitaji ushauri unaohusiana na suala zima la mahusiano, kwa kutumia baadhi ya maneno kutoka kwenye nyimbo za wasanii mbalimbali ( Hasa...
Weekend iliyopita ilikuwa siku nzuri kwa Diamond Platnumz wakati mgombea Urais Raila Odinga aliposimama mbele ya Wakenya na kuwaomba kumpigia kura kama Rais ajaye kabla ya Uchaguzi Mkuu...
Habari zenu wakuu,
Wanasemaga muziki ni food to the soul, na Mziki pia ni universal language kwamba unaweza usielewe lugha ya kinachoimbwa lakini nyimbo ikakugusa sana.
Binafsi Kuna nyimbo...
Hello ladies in Gentlemen, how are you doing well today? I want to talk about stranger things. It's a great movie to be honest but there's one problem. it's not well thought out. and there are...
Yaani nacheki cheki hapa dah nimeishiwa nguvu kwanza naona yule jamaa sijui chawa anaitwa bill sepenga ndio mtangazaji akiwa na dullah.
Hiyo mosi sio mbaya
Pili wageni wenyewe sasa wameleta...
Habari za wakati huu
Kwa ambao hawafahamu storyteller ni wale wasanii ambao nyimbo zao zipo kwenye mfumo kama wa simulizi flani hivi. Kifupi aina hizi ya nyimbo huwa hazichoshi kusikiliza miaka...
Tukisema nyie bado Sana kimataifa mnabisha [emoji28]
Unaambiwa Aziz k na mayele walipoingia tulipiga kelele Kama limefungwa goli...[emoji28][emoji28]
Hapa naplay Ngoma ya motra the future...
Tuna safari ndefu sana katika maisha na kila mmoja anakutana na mikasa yake. Lakini katika yote hayo yaani safari ndefu na mikasa ambayo tunakutana nayo kuna kitu kimoja tu ambacho kinatufanya...
Mwaka jana Ngowi alibuni jezi za Yanga ya Nyumban ile Kijan akaharibu sana
Mwaka huu the same Jezi ya Nyumban kaharibu(tusiogope kusema ukweli wanayanga ameharibu)
Mwaka Jana Vunjabei...
Habari za wikiendi..
Kama nilivyouliza hapo juu ni jina lipi la hadithi,kitabu au novel huwa linakuvutia sana au unalipenda.
Mimi napenda sana
Why men love bitches.
Manipulated man.
Tutarudi na...