Tuambiane Ukweli Tusiogopane Vunjabei & Ngowi

Tuambiane Ukweli Tusiogopane Vunjabei & Ngowi

Mubby777

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
1,627
Reaction score
5,711
Mwaka jana Ngowi alibuni jezi za Yanga ya Nyumban ile Kijan akaharibu sana
Mwaka huu the same Jezi ya Nyumban kaharibu(tusiogope kusema ukweli wanayanga ameharibu)

Mwaka Jana Vunjabei alichelewesha Jezi ya Simba mpk siku tatu kabla ya Simba day tena akataka azindue wakamzuia na kumwamuru aachie jezi ziuzike siku ya Simba
Mwaka huu tena kafanya ujinga ule ule

Hebu tusimame kwa pamoja wote tuuongee ukweli bila wote hawa ni vijana wanaaminiwa wanatuharibia vijana kuaminiwa
 
Kurudia kosa kaka ni kukatishwa tamaa? Mtu alikosea mwaka jana then mwaka unaofata anakosea then tuseme wanafaa?
mkuu nikuulize swali? wewe kwa maoni yako unaona wamekosea? mbona waliopitisha hilo wazo la jezi wameona inafaa? na kumbuka wamepewa tenda kimkataba
 
Mwaka jana Ngowi alibuni jezi za Yanga ya Nyumban ile Kijan akaharibu sana
Mwaka huu the same Jezi ya Nyumban kaharibu(tusiogope kusema ukweli wanayanga ameharibu)

Mwaka Jana Vunjabei alichelewesha Jezi ya Simba mpk siku tatu kabla ya Simba day tena akataka azindue wakamzuia na kumwamuru aachie jezi ziuzike siku ya Simba
Mwaka huu tena kafanya ujinga ule ule

Hebu tusimame kwa pamoja wote tuuongee ukweli bila wote hawa ni vijana wanaaminiwa wanatuharibia vijana kuaminiwa
Mipango ya SIMBA huwa haitangazwi mitandaoni
JamiiForums483970616.gif
 
Mwaka jana Ngowi alibuni jezi za Yanga ya Nyumban ile Kijan akaharibu sana
Mwaka huu the same Jezi ya Nyumban kaharibu(tusiogope kusema ukweli wanayanga ameharibu)

Mwaka Jana Vunjabei alichelewesha Jezi ya Simba mpk siku tatu kabla ya Simba day tena akataka azindue wakamzuia na kumwamuru aachie jezi ziuzike siku ya Simba
Mwaka huu tena kafanya ujinga ule ule

Hebu tusimame kwa pamoja wote tuuongee ukweli bila wote hawa ni vijana wanaaminiwa wanatuharibia vijana kuaminiwa
Sasa hili nalo lakuleta Huku kak muddy

Blah blha kibao tu ss tunataka mpira upigwe mwingi ata wakiwa vifua wasi Ni awa tu
 
Mwaka jana Ngowi alibuni jezi za Yanga ya Nyumban ile Kijan akaharibu sana
Mwaka huu the same Jezi ya Nyumban kaharibu(tusiogope kusema ukweli wanayanga ameharibu)

Mwaka Jana Vunjabei alichelewesha Jezi ya Simba mpk siku tatu kabla ya Simba day tena akataka azindue wakamzuia na kumwamuru aachie jezi ziuzike siku ya Simba
Mwaka huu tena kafanya ujinga ule ule

Hebu tusimame kwa pamoja wote tuuongee ukweli bila wote hawa ni vijana wanaaminiwa wanatuharibia vijana kuaminiwa

Daima mbele nyuma mwiko nguvu moja
 
To be honest simba inaendeshwa kiswahili swahili sana
Pengine ni kweli Lakini je tunacho cha kuonesha chetu wenyewe kisichoendeshwa Kiswahili swahili?? Yaani kwa mfano niseme mimi nina kampuni yangu...!
 
Pengine ni kweli Lakini je tunacho cha kuonesha chetu wenyewe kisichoendeshwa Kiswahili swahili?? Yaani kwa mfano niseme mimi nina kampuni yangu...!
Tulipokuwa tunapigia kampeni ili simba iingie kwenye mfumo wa kampuni ni kwa sababu tuache huu uswahili ili mambo yaende kwa kunyooka badala yake hata hiyo kampuni hakuna na wala hakuna mabadiliko yaliofanyika ni uswahili uswahili tu
 
Tulipokuwa tunapigia kampeni ili simba iingie kwenye mfumo wa kampuni ni kwa sababu tuache huu uswahili ili mambo yaende kwa kunyooka badala yake hata hiyo kampuni hakuna na wala hakuna mabadiliko yaliofanyika ni uswahili uswahili tu
Ndio maana napenda kubaki kuwa shabiki wa kawaida ili kuna baadhi ya mambo yasiniumize
 
Back
Top Bottom