Ulizia wimbo wowote wa taarabu hapa {special thread}

Ulizia wimbo wowote wa taarabu hapa {special thread}

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Wakuu nimeanzisha uzi huu kuulizia nyimbo yoyote na kuweka link za kudawnload hapa
karibuni
 
Wakuu nimeanzisha uzi huu kuulizia nyimbo yoyote na kuweka link za kudawnload hapa
karibuni

pambeetyu,kuna wimbo wa Zuh'ra Shaban(mashaAllah huyu mwanamama) una maneno ya 'mchezo gani huo wa kurudi nyuma huo,wa kuruka ukuta huo!'
jina limen'toka kidogo,mana wa kitambo huo wimbo!
 
Last edited by a moderator:
Umebeba begi umekuwa lori watafuta tenda watafuta buzi
Nafanya hesabu sipati jawabu
Ni mchezo gani huo wa kurudi nyuma huo wa kuruka ukuta huooo.
Kwako kote kote bosi na mesenja
Ni mchezo gani huo kumuacha wako huo kumfuata wangu huo wa kuruka patupu huo.
 
 
Last edited by a moderator:
Natafuta wimbo wa Chura ( ulikuwa ukipigwa mwanzoni/mwishoni mwa igizo moja hivi la wakenya miaka ya 90)

"chura nakuulizia unipe jibu.makini kila ijapo mvua wakimbilia bwawani ..
......"
 
Jamani natafuta wimbo wa "Shangingi" wameimba Muungano Cultural Taarab.

Buzi limewekwa chini shangingi analichuuuna
Linachunwa kwa ulanini huku linapakwa ina.
 
Natafuta nyimbo imeimba hivi;


""Mtaani umepewa jina waitwa Mam Huruma wee, sikutegemea wala sikudhani kama una mambo, hayafanani na jambo, una mambo wewe....Kila ukionacho, wakitolea macho wataka kukichukua, japo sio chako wakitolea macho wataka kukichukua...."""

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohy me nahitaji ile taarabu..humpati huyo.. Utasota sana humpati huyo... Full audio..
Itakuwa poa sana
 
Mwenzenu Mimi natoka morogoro,najivunia kwetu mji kasoro bahari.
Lazima nitarudi,hata nikienda mbali,kwa vile ndugu zangu Moro wananisubiri.Inaitwa Moro by afande sele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke jehuri dawa yake muibie mumuwe[emoji445][emoji445][emoji445]ni wimbo wa nani huu?
 
Naomba kuna ule anaimba "Bafuni unapikia jikoni unaogea" halafu sijui nini na nini kisha "masela wa vijiweni uroda wajipatia kwako kwa foleeni" nashindwa kutambaa na beat coz siyo mambo yangu haya ila huu wimbo nina historia nao sana.

Aliyeuimba nadhani amefariki sasa,Mungu amrehemu.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom