Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,488
Habari za leo Wakuu!
Leo nakuja na uzi maalumu kwa wote wanaohitaji ushauri unaohusiana na suala zima la mahusiano, kwa kutumia baadhi ya maneno kutoka kwenye nyimbo za wasanii mbalimbali ( Hasa Wasanii wa HIP HOP )
Kwa kuanza na wimbo wa MWANA FA - Bado Nipo Nipo
Kuna mengi sana ya kujifunza kwa wale ambao wamekuwa wakiteswa na kulilia na mapenzi.
VERSE ya 2
Hata nikitaka kuoa niambie ntamuoa nani ?
watu wana watu wao wengine toka zamani
ukiambiwa we ni boyfriend haimaanishi uko peke yako
wadogo usoni wanahifadhi wazee wako
sijui ni dhiki au tamaa tu ?
watoto wanaanika njaa tu
hawafikirii mapenzi wanachoona wao ni mkwanja tu
Msinipe headache staki kufuata Mkumbo
Nyie anzeni mi niacheni, staki kufanya gamble
marafiki wanauzana, ndio zao vicheche
na daima wanateteana, siwaamini usiniangushe
Anataka kuolewa na anamegwa kama kawa
demu wako akiuza wenzake, zinduka nae analiwa YES
Sitaki kuoa sababu sitaki kulia
najipanga nisiharibu sitaki mje kunihurumia
nafahamu nna Bahati mbaya kama nalala na bundi
ndio maana sijipi moyo wala sijitii maufundi
Alilala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi
na wala sio bwana harusi,
Bado mnanishauri harusi?
Eti nizibe maskio
wengine nifumbe macho
nisione wakati naibiwa?
hamuwezi kuwa hamjalewa
VERSE ya Mwisho
Usiseme unamwamini mwanamke hata kama unamtania
watu na akili zao washajichuuza na wakalia
Sikatazi watu kuoa
na hata nikiwakataza neno langu sio sheria
Sipendi wanawake napenda wanawake wazuri
wanaojitunza wanajiheshimu sio wa simu na gari
Inahitaji muda kuwapata hakuna anaewajua vizuri
ndio maana mi nipo nipo sitaki kuvamia shari
Wanatoroka na wazungu, wanamegwa na vibabu
wanaiba waume za wenzao uso mkavu hawana aibu
Ukitaka wako peke yako labda umuumbe mwenyewe
au kata mgomba uufiche mtaani usishindaniwe
Wakikumegea demu wako nawe tafuta mnyonge ummegee
haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume
Kumegewa ni jambo moja kukimbiwa ushafkiria?
Sio kila demu umuonae unaweza muoa.
Mstari ambao nimekuwa nikiishi nao siku zote na ninauelewa nao vilivyo na haujawahi kunisaliti ni huu
" UKITAKA WAKO PEKE YAKO LABDA UMUUMBE MWENYEWE AU KATA MGOMBA UUFICHE MTAANI USISHINDANIWE
WAKIKUMEGEA DEMU WAKO NAWE TAFUTA MNYONGE UMMEGEE HAIPUNGUZI MAUMIVU INARUDISHA HADHI YA KIUME, KUMEGEWA NI JAMBO MOJA KUKIMBIWA USHAFIKIRIA? "
Dondosha ushauri wako chini usaidie kizazi cha sasa kinachoteswa na mapenzi, kwa kutumia wimbo wowote uliowahi kuusikiliza.
Karibuni!
Leo nakuja na uzi maalumu kwa wote wanaohitaji ushauri unaohusiana na suala zima la mahusiano, kwa kutumia baadhi ya maneno kutoka kwenye nyimbo za wasanii mbalimbali ( Hasa Wasanii wa HIP HOP )
Kwa kuanza na wimbo wa MWANA FA - Bado Nipo Nipo
Kuna mengi sana ya kujifunza kwa wale ambao wamekuwa wakiteswa na kulilia na mapenzi.
VERSE ya 2
Hata nikitaka kuoa niambie ntamuoa nani ?
watu wana watu wao wengine toka zamani
ukiambiwa we ni boyfriend haimaanishi uko peke yako
wadogo usoni wanahifadhi wazee wako
sijui ni dhiki au tamaa tu ?
watoto wanaanika njaa tu
hawafikirii mapenzi wanachoona wao ni mkwanja tu
Msinipe headache staki kufuata Mkumbo
Nyie anzeni mi niacheni, staki kufanya gamble
marafiki wanauzana, ndio zao vicheche
na daima wanateteana, siwaamini usiniangushe
Anataka kuolewa na anamegwa kama kawa
demu wako akiuza wenzake, zinduka nae analiwa YES
Sitaki kuoa sababu sitaki kulia
najipanga nisiharibu sitaki mje kunihurumia
nafahamu nna Bahati mbaya kama nalala na bundi
ndio maana sijipi moyo wala sijitii maufundi
Alilala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi
na wala sio bwana harusi,
Bado mnanishauri harusi?
Eti nizibe maskio
wengine nifumbe macho
nisione wakati naibiwa?
hamuwezi kuwa hamjalewa
VERSE ya Mwisho
Usiseme unamwamini mwanamke hata kama unamtania
watu na akili zao washajichuuza na wakalia
Sikatazi watu kuoa
na hata nikiwakataza neno langu sio sheria
Sipendi wanawake napenda wanawake wazuri
wanaojitunza wanajiheshimu sio wa simu na gari
Inahitaji muda kuwapata hakuna anaewajua vizuri
ndio maana mi nipo nipo sitaki kuvamia shari
Wanatoroka na wazungu, wanamegwa na vibabu
wanaiba waume za wenzao uso mkavu hawana aibu
Ukitaka wako peke yako labda umuumbe mwenyewe
au kata mgomba uufiche mtaani usishindaniwe
Wakikumegea demu wako nawe tafuta mnyonge ummegee
haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume
Kumegewa ni jambo moja kukimbiwa ushafkiria?
Sio kila demu umuonae unaweza muoa.
Mstari ambao nimekuwa nikiishi nao siku zote na ninauelewa nao vilivyo na haujawahi kunisaliti ni huu
" UKITAKA WAKO PEKE YAKO LABDA UMUUMBE MWENYEWE AU KATA MGOMBA UUFICHE MTAANI USISHINDANIWE
WAKIKUMEGEA DEMU WAKO NAWE TAFUTA MNYONGE UMMEGEE HAIPUNGUZI MAUMIVU INARUDISHA HADHI YA KIUME, KUMEGEWA NI JAMBO MOJA KUKIMBIWA USHAFIKIRIA? "
Dondosha ushauri wako chini usaidie kizazi cha sasa kinachoteswa na mapenzi, kwa kutumia wimbo wowote uliowahi kuusikiliza.
Karibuni!