WanaJF
Leo naomba tuzungumzie kidogo kundi la choka mbaya kwa walionza kusikiliza muziki wa bongo fleva miaka ya nyuma kidogo nazani watakuwa wanakumbuka kundi la choka Mbaya kwa haraka haraka...
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe Shyrose Bhanji akiwahi uwanja wa ndege kwa Bodaboda baada ya kukwama masaa kadhaa barabarani kutokana na foleni kubwa aliyokutana nayo akiwa mitaa ya...
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.
Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia...
Kuna viumbe Mungu kavibariki kama si kuvipendelea kabisa....ebu ona huyu mama mzao wa 14 Augost1966 Takribani 46yrs anawaka km kigori cha miaka 26....wakati kuna "mangulu bange" kitaa hata miaka...
KATIKA kujiongezea vyanzo vya mapato, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ameamua kujizatiti zaidi kwenye biashara ambapo sasa amefungua sehemu ya kuoshea magari maarufu kama Car Wash iliyopo...
Wasalaam!
Wana jamvi leo Msanii Alikiba ameamua kufungaka na kuweka waZi kili kinacho hitwa tofauti au bifu kati yake na Msanii Diamond!Kwanza lazima tukubaliane kuwa ALikiba ni mmoja wa Wasanii...
Mavazi aliyovaa Salma Msangi jana akiwa anatangaza kipindi cha TV kwenye Chanel Ten yanapotosha jamii kabisa, hasa mabinti wadogo wanaokua. Mtangazaji wa vipindi vya TV anapaswa kujiheshimu...
Mwimbaji nyota wa Marekani Chris Brown ameachiliwa kutoka gereza moja la Los Angeles.
Naibu Liwali wa LA, Tony Moore amesema mwimbaji huyo wa miondoko ya R&B ameachiliwa siku ya Jumatatu asubuhi...
Mbunge wa viti maalum Geita kupitia CCM, victoria kamata ametunga wimbo maalum uliobeba jina la " Nafsi ya mtu ni Kichaka" ambao ni kigongo tosha kwa zilipendwa wake charles Gadner ambae anadau...
Lol. The things we hear everyday. Popular Kenyan socialite, Vera Sidika, (pictured left & right..yeah it's the same person) went on TV recently to say she's spent over $170,000 on skin...
Kwa wale mnaokumbuka Rapper Eve E aliyeimbaa wimbo wa "Who that girllll" la la laa lallaa. Amefunga pingu za maisha leo na Boyfriend wake wa muda mrefu ajulikanaye kama Maximillion Cooper. Hii ni...
Haya ndio aloyasema, Let me clear the air ni hivi, pamoja na ujinga tulioufanya mimi na George katika maisha yetu, kwa macho ya kibinadamu utasema alikuwa na mke mwengine but kwa macho ya kimungu...
Naibu waziri Juma Nkamia amewapa onyo wasanii hawa
Ney wa Mitego
Shilole
Wema Sepetu
Aunt Ezekiel
Kwa sababu hawana maadili mazuri ndani ya Jamii kwa kazi zao kwa hiyo wametakiwa kujirekebisha...
TANZANIA'S 15 MOST ELIGIBLE BACHELORS
Written by Mange
Tuesday, 04 October 2011 16:02
1.
Abdallah Singano – Head of Marketing Stanbic Bank
2. Earl Mathyysen – Manager...
http://www.hulkshare.com/kdaddycool/diamond-platnumz-mdogo-mdogo
Wazee wa vigodoro hapa ametupatia kweli. Nasikia remix yake msaga sumu mzee wa naipenda simba na dogo mfaume ( kazi yangu ya...
Kufuatilia trendss za Agnes Masogange kwenye mtandao wa instagram
Kama mnavyojua dada yetu Masogange kwa muda sasa yupo nchini Sauzi na amekuwa sio mchoyo wa picha zake, wakati wote amekuwa...
Habari wana MMU,.
Nafahamu wengi wetu tunafuatilia kipindi cha mwanadada Diva kinachorushwa na Clouds Fm,.
Kuna wimbo huwa unasikika katika background wakati akiendelea kuzungumza,.
Huu...
rapa mwenye stail ya kipekee amehamia kwenye mjengo wake mpya ulioko kimara korongwe
alioujenga kwa gharama ya million 180 uu ni muendelezo wa nyumba zake 3 ambazo ziko kwenye hatua ya nwisho
kwa...