Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

WanaJF Leo naomba tuzungumzie kidogo kundi la choka mbaya kwa walionza kusikiliza muziki wa bongo fleva miaka ya nyuma kidogo nazani watakuwa wanakumbuka kundi la choka Mbaya kwa haraka haraka...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe Shyrose Bhanji akiwahi uwanja wa ndege kwa Bodaboda baada ya kukwama masaa kadhaa barabarani kutokana na foleni kubwa aliyokutana nayo akiwa mitaa ya...
1 Reactions
83 Replies
18K Views
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya. Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia...
1 Reactions
32 Replies
9K Views
Kuna viumbe Mungu kavibariki kama si kuvipendelea kabisa....ebu ona huyu mama mzao wa 14 Augost1966 Takribani 46yrs anawaka km kigori cha miaka 26....wakati kuna "mangulu bange" kitaa hata miaka...
4 Reactions
55 Replies
9K Views
KATIKA kujiongezea vyanzo vya mapato, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ameamua kujizatiti zaidi kwenye biashara ambapo sasa amefungua sehemu ya kuoshea magari maarufu kama Car Wash iliyopo...
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Wasalaam! Wana jamvi leo Msanii Alikiba ameamua kufungaka na kuweka waZi kili kinacho hitwa tofauti au bifu kati yake na Msanii Diamond!Kwanza lazima tukubaliane kuwa ALikiba ni mmoja wa Wasanii...
4 Reactions
36 Replies
13K Views
  • Closed
Mavazi aliyovaa Salma Msangi jana akiwa anatangaza kipindi cha TV kwenye Chanel Ten yanapotosha jamii kabisa, hasa mabinti wadogo wanaokua. Mtangazaji wa vipindi vya TV anapaswa kujiheshimu...
5 Reactions
117 Replies
30K Views
Mwimbaji nyota wa Marekani Chris Brown ameachiliwa kutoka gereza moja la Los Angeles. Naibu Liwali wa LA, Tony Moore amesema mwimbaji huyo wa miondoko ya R&B ameachiliwa siku ya Jumatatu asubuhi...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Mbunge wa viti maalum Geita kupitia CCM, victoria kamata ametunga wimbo maalum uliobeba jina la " Nafsi ya mtu ni Kichaka" ambao ni kigongo tosha kwa zilipendwa wake charles Gadner ambae anadau...
0 Reactions
72 Replies
13K Views
Lol. The things we hear everyday. Popular Kenyan socialite, Vera Sidika, (pictured left & right..yeah it's the same person) went on TV recently to say she's spent over $170,000 on skin...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Kwa wale mnaokumbuka Rapper Eve E aliyeimbaa wimbo wa "Who that girllll" la la laa lallaa. Amefunga pingu za maisha leo na Boyfriend wake wa muda mrefu ajulikanaye kama Maximillion Cooper. Hii ni...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Haya ndio aloyasema, Let me clear the air ni hivi, pamoja na ujinga tulioufanya mimi na George katika maisha yetu, kwa macho ya kibinadamu utasema alikuwa na mke mwengine but kwa macho ya kimungu...
0 Reactions
75 Replies
17K Views
i.ning.com/files/swLlbX5ug5YOpRfuqW1G*Xt-BqOM2-y30K4iqT1RUrns6slH-gPrqCHFr3ta17-pzv9vWSv3xJg-SWQOB2evoUdDkddVbous/PENNY.jpg[/IMG] mnaweza kuongezea niliowasahau na kupunguza walioingia...
0 Reactions
103 Replies
47K Views
Naibu waziri Juma Nkamia amewapa onyo wasanii hawa Ney wa Mitego Shilole Wema Sepetu Aunt Ezekiel Kwa sababu hawana maadili mazuri ndani ya Jamii kwa kazi zao kwa hiyo wametakiwa kujirekebisha...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
TANZANIA'S 15 MOST ELIGIBLE BACHELORS Written by Mange Tuesday, 04 October 2011 16:02 1. Abdallah Singano – Head of Marketing Stanbic Bank 2. Earl Mathyysen – Manager...
0 Reactions
96 Replies
25K Views
http://www.hulkshare.com/kdaddycool/diamond-platnumz-mdogo-mdogo Wazee wa vigodoro hapa ametupatia kweli. Nasikia remix yake msaga sumu mzee wa naipenda simba na dogo mfaume ( kazi yangu ya...
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Kufuatilia trendss za Agnes Masogange kwenye mtandao wa instagram Kama mnavyojua dada yetu Masogange kwa muda sasa yupo nchini Sauzi na amekuwa sio mchoyo wa picha zake, wakati wote amekuwa...
0 Reactions
47 Replies
25K Views
Habari wana MMU,. Nafahamu wengi wetu tunafuatilia kipindi cha mwanadada Diva kinachorushwa na Clouds Fm,. Kuna wimbo huwa unasikika katika background wakati akiendelea kuzungumza,. Huu...
1 Reactions
13 Replies
13K Views
rapa mwenye stail ya kipekee amehamia kwenye mjengo wake mpya ulioko kimara korongwe alioujenga kwa gharama ya million 180 uu ni muendelezo wa nyumba zake 3 ambazo ziko kwenye hatua ya nwisho kwa...
0 Reactions
62 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…