Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hivi hawa wasanii wa hiphop kuna hata mmoja mwenye gari? Ukimtoa binamu na Jay? Hapa na maanisha WEUSI, FID Q, KALA, STAMINA, ROMA, JCB, JAY MO na wengine wengi.
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Wasalaam wanajamvi. Kati ya watu ambao hawakufiri kama msaanii Chid benz angeweza kurudi vyema kwenye ulingo wa muziki Mimi ni mmoja wapo maana nilihisi kama huyu mtu amesha changanyikiwa na...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
  • Closed
Wasichana wa bongo, keep your bodies na afya nzuri. Nimemuona Salama Msangi anavyoonekana, sio afya jamani. Jikubali na maumbile alio kupa mwenyezi. Lazima mtu ajikondeshe kiasi hicho kweli...
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Hii kitu sijaelewa naona wasanii kibao wa mamtoni wakijibizana,ina maana gani hasa? wanaojua elezeni basi maana naona wasanii wakubwa wanapeana tu hiyo challenge ya kumwagiwa maji.
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Aunt Ezekiel ambaye ni rafiki wa karibu wa Wema Sepetu, amejibu kauli ya Diamond Platinumz kuwa Wema ana marafiki wanaomfundisha tabia mbaya na kwamba kama anataka kuendelea aachane nao. Akiongea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika ukurasa wa Instagram mrekebishatabia aliandika hivi:- Yes. Kuna watu hawaelewi kwanini au why now.. tunampenda sana Wema Sepetu binafsi mimi kama mrekebishaji sifurahii kuona mtu ambaye...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Pamoja na sifa nyingi ambazo amejizolea mwanamuziki Naseeb Abdul "Diamond" ni kweli ana kipaji na pia anajituma katika kazi zake. Ila asisahau kwamba hatua aliyofika leo pamoja na kujitahidi kwake...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wote ni video director wa video za kibongo wakali sana ninaowaaminia. niambie mdau kwa mtazamo wako nani anasumbua sana kati ya hivi vichwa viwili? baadhi ya video za NISHER ni: Nje ya Box-...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mh. Samuel Sitta ambae anachuana na wana-CCM wenzake kupata tiketi ya kugombea urais kupitia chama cha mapinduzi kagundua kitu ambacho kitamleta karibu zaidi na vijana masister du na mabraza men...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Nampenda sana Millard Ayo nilijua ana kitu cha tofauti tangu anaanza kazi ya utangazaji. Sio kwamba nilivutiwa na story yake aliyopitia. Jamani anastahili credit nyingi sana. Habahatish...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Wasanii hawa wabongo ukiwaona kwenye tv unaweza waona wanahela sana kumbe hawana lolote. Juzi kati hapa Hemed PHD pamoja na kulamba lamba lips zake alishindwa kuchukua GX 100 kwa milioni nne tu...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Kwanza muonekano wake haswa kimavazi haujanifuraisha. Anaelezea namna alivyo hodari kwenye soka. Aelezea kuwa Tid alitaka kumuua..ila kaiachia serikali. Anasema alikuwa kimya ili awe...
0 Reactions
57 Replies
11K Views
Hi Sporah! hongera kwa kuwa na kipindi chako kwa TV, ni hatua kubwa sana. Umeweza!! Japokuwa tunafurahia baadhi ya shows lakini nyingi zinaboa! Yeah unatafuta viewers lakini kwa njia ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Unapozungumzia wasanii wenye vipaji vya kutisha nchini Tanganyika huwezi kusita kumtaja kijana huyu Ally kiba. Ni msanii mwenye mvuto , sauti nzuri na haiba yake, siwezi hata siku moja...
1 Reactions
50 Replies
8K Views
Sina kawaida ya kuwafuatilia sana watu maarufu lakini huyu dada ananivutia sana na ninatamani nimwombe ndoa,hebu nisaidieni nampataje? Anaishi hapa nchini au ni diaspora(saivi naoana wanapenda...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Anadaiwa kufuatiliwa kwa ukaribu na polisi akihofiwa kusafirisha 'unga' kutokana na shoo za nje ya nchi, kumiliki fedha nyingi katika akaunti. ========== NIkweli kimenuka! Mbongo Fleva Nasibu...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
HAPPY BIRTHDAY MONALISA Leo ni siku ya kuzaliwa ya Monalisa Mwigizaji na Mtangazaji wa kipindi cha Filamonata cha 100.5 Times Fm. JF tunamtakia maisha mema yenye baraka na fanaka.
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Hong Kong (CNN) The 32-year-old son of actor and kung fu star Jackie Chan has been arrested in Beijing on drugs charges, as authorities clamp down on celebrity offenders. Police say they detained...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kwa wale ambao huwa wanafuatilia conspiracy theories za illuminati najua mtakubaliana na mimi kwamba huyu jamaa either ni member au yupo obsessed na illuminati, katika video take aliyopost(Diamond...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari zenu Tukiwa hapa kijiweni Bamaga, tukipiga story mbili tatu anakuja jamaa Mshikaji wetu anayefanyia TBC ambapo Ni mmoja kati ya waendesha kipindi fulani...Baada ya kupiga story mbili...
0 Reactions
84 Replies
21K Views
Back
Top Bottom