Jamal naeem
Member
- Jan 10, 2014
- 72
- 20
Naibu waziri Juma Nkamia amewapa onyo wasanii hawa
Ney wa Mitego
Shilole
Wema Sepetu
Aunt Ezekiel
Kwa sababu hawana maadili mazuri ndani ya Jamii kwa kazi zao kwa hiyo wametakiwa kujirekebisha tabia zao.
Alisema hayo bungeni asubuhi ya leo.
Ney wa Mitego
Shilole
Wema Sepetu
Aunt Ezekiel
Kwa sababu hawana maadili mazuri ndani ya Jamii kwa kazi zao kwa hiyo wametakiwa kujirekebisha tabia zao.
Alisema hayo bungeni asubuhi ya leo.