Vijana wenye mafanikio zaidi bongo 2011!

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139
TANZANIA'S 15 MOST ELIGIBLE BACHELORS
Written by Mange
Tuesday, 04 October 2011 16:02


1.
Abdallah Singano – Head of Marketing Stanbic Bank
2. Earl Mathyysen – Manager Airtel
3.
Patrick Haidery- Owner of Haidery Plaza (Major businessman)



4. Hasheem Thabeet- 1[SUP]st[/SUP] Tanzanian to play in the NBA

5. Joe Vuitton –


6. John Mnyika-Member of Parliament




7. Kamanga Kapinga- Lawyer




8. Kelvin Twissa- Head Airtel Money




9. Miraji Kikwete – 1[SUP]st[/SUP] son




10. Mlatie- owner of rose garden




11. Richard Kikwaba – Owner of proactive employment solutionand owner of Rainbow club




12.
Sheria Ngowi – Tanzania's 1[SUP]st[/SUP] professional fashion designer





13. Thuwein Makamba- Officer American Refugee camp –Sudan




14. Zitto Kabwe- Member of parliament


15. JUSTIN MASSAWE- Business man
 
Sasa miraji unamuweka hapo huo c uzuzu?yeye kama mtoto wa 1 wa rais ana mchango gani kwa jamii?nyambaf,

nadhani muandaaji wa hii kitu alibase kwenye mafanikio binafsi ya wahusika zaidi sio mchango kwa jamii..ndio unamuona hata mtu kama mnyika hapo,kwani maechangia nini kwa jamii?
 
nadhani muandaaji wa hii kitu alibase kwenye mafanikio binafsi ya wahusika zaidi sio mchango kwa jamii..ndio unamuona hata mtu kama mnyika hapo,kwani maechangia nini kwa jamii?

Mange naona unajitahidi kutuletea listi zako huku, haya :hat::majani7:
 
Sugu hamna? au ni mzee sasa?

Kataja watu anaowafahamu na kwa tasfiri yake mwenyewe ya anayoyaita mafanikio. Kwasababu kwa tafsiri yangu mimi vijana waliofanikiwa Tanzania huwezi ukaniacha mimi Mvaa Tai. Nilipotoka na nilipo ni mbali sana, leo hii ninaweza kuingia JF na kuchangia mada bila kumuuliza mtu!!!! kweli watu tunatoka mbali.
 
Kataja watu anaowafahamu na kwa tasfiri yake mwenyewe ya anayoyaita mafanikio. Kwasababu kwa tafsiri yangu mimi vijana waliofanikiwa Tanzania huwezi ukaniacha mimi Ezan. Nilipotoka na nilipo ni mbali sana, leo hii ninaweza kuingia JF na kuchangia mada bila kumuuliza mtu!!!! kweli watu tunatoka mbali.

safi sana,ni muhimu kujitambua wewe kwanza sio..
 
nadhani muandaaji wa hii kitu alibase kwenye mafanikio binafsi ya wahusika zaidi sio mchango kwa jamii..ndio unamuona hata mtu kama mnyika hapo,kwani maechangia nini kwa jamii?

Na hapo ndo kwenye shida ya vijana na watu wengi miongoni mwetu. Mtu kaiba mali anaendesha gari ya thamani na kuishi maisha ya kifahari basi anaitwa mtu mwenye mafanikio ktk jamii.

Angalieni mchango wa mtu kwenye kusaidia jamii kuondokana na matatizo. Akifanikiwa ktk hilo ndiyo useme huyu jamaa ndiye mtu mwenye mafanikio ktk jamii ya watanzania.

'Mitanzania ndivyo tulivyo'
 
Na hapo ndo kwenye shida ya vijana na watu wengi miongoni mwetu. Mtu kaiba mali anaendesha gari ya thamani na kuishi maisha ya kifahari basi anaitwa mtu mwenye mafanikio ktk jamii.

Angalieni mchango wa mtu kwenye kusaidia jamii kuondokana na matatizo. Akifanikiwa ktk hilo ndiyo useme huyu jamaa ndiye mtu mwenye mafanikio ktk jamii ya watanzania.

'Mitanzania ndivyo tulivyo'

kuna tofauti kubwa sana lakini kati ya mafanikio na mchango katika jamii,unaweza kuwa na mafanikio katika maisha yako lakini usiwe na mchango wowote katika jamii,hatulaimiana sana lakini ni mfumo wa ujamaa tulioanza nao ndio unatusumbua vichwani mwetu mpaka leo,maana ujamaa nikipata mafanikio mimi ni lazima nigawane na nyie,watu wote eti tuwe sawa,hata wavivu nao tuwe nao sawa..
 
Back
Top Bottom