Ndugu jana kuanzia saa moja na nusu jioni Star tv alioneshwa msanii mmoja akihojiwa ambaye mpaka waandishi wa habari alimwambia "yawezekana wewe siyo kanumba ila umefanana naye kila kitu"
Huyu...
Wadau tafadhali wanaojua jina la profile za instagram za celebrities wakibongo ingependeza mzichangie hapa mana mda mwengine majina yao ya instagram ni kazi kuyapata
Nawapongeza sana Husna Abdul na Gea Habib kwa kunogesha kipindi cha Leo Tena. Kipindi kimechangamka sana. Husna amefit vizuri sana na hamna mapungufu.
Kuna baadhi ya watu walidhani kuondoka kwa...
Nilikuwa sijawahi kuuzingatia huu wimbo. Now nauangalia nimegundua Rose Muhando ana kiuno bila mfupa, mauno ya hatari kabisa yaani akiamua kujiachia kama wanaoimba nyimbo za 'kidunia' wakina Snura...
Funny as it may sound halle berry has been ordered to pay her ex $16,000 in child support partially because she earns $4.5 million more than him.
Court documents filed May 30 state that Berry's...
Mume wako amekumbwa na kashfa ya kubaka,tukio hilo limetokea wakati wewe ikisemekana umemkimbia mumeo na kwenda kupanga hotelini,unakumbuka kiapo chako kanisani?
Uliapa mbele za MUNGU hutomuacha...
Mke halali wa Rais wa bendi ya mashujaa musica Charles Gabriel Cyprian ‘Chaz Baba', Rehema Sospeter Marwa mwishoni mwa wiki jana alizua timbwili la mwaka baada ya...
Huu wimbo ni mahususi hasa kwa vijana, sio tunaendekeza starehe kwa muda mfupi halafu tunapoteana.
Tujitaidi kutunza vipato vyetu, tule starehe kwa stepu historia iwe baada ya kifo sio kabla ya...
Nimetoka kumsikia anasema mtoto wake mmoja ametoka kuchukua cpa juzi, sijaelewa kama alikuwa anamaanisha kwamba ametoka kufanya mitihani ya nbaa may hii, au amegraduate mwaka jana.
huyu muhasibu...
Nimeanza kumsikia jenifa mgendi (mwimbaji wa nyimbo za injili) tokea niko mdogo sana hata shule sijaanza.
Cha kusikitisha had sasa naona kama wanamuonea. Sijamsikia kwenye matamasha wakimjumuisha...
Alexander Imich, born February 4, 1903 is a 111-year-old Polish psychic researcher, he died Sunday morning at a senior residence in New York City. He received the title after the previous...
Ndugu zangu wana JF,jana nilimwandikia waraka maalumu Flora mbasha na nikamuuliza maswali kadhaa ambayo hadi sasa hajajibu japokuwa naye huingia humu,wengi wetu tumegawanyika kuhusu mgogoro...
27-year-old Eudoxie Fabiola Agnan the wonderful daughter of Jermaine Agnan is originally from Gabon, Africa. she goes by Fab because her middle name is Fabiola.Fabs real Facebook page is in...
Hivi tatizo la huyu jamaa ni nini kwenye mziki?huwezi ukasema kuna wimbo wake hata moja ume-hit,aisee mshikaji mi naona kama hana nyota kabisa.
Wa siku nyingi sana ila sijui kama anakubalika...
Mwanamuziki wa zamani na mbunge Vicky Kamata baada ya ndoa yake kudaiwa kuzuiliwa kufungwa kutokana na kudaiwa kubainika kuwa mwanaume aliyetaka kufunga naye ndoa ana ndoa nyingine, amefunguka kwa...
Tumpigie kura kwa wingi Diamond ili aibuke na ushindi katika MTV Music Awards itakatofanyika Kwazulu-NATAL
Bofya hapa chini:
2014 MTV Africa Music Awards Kwazulu-Natal | Vote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.