MWANAMITINDO anayefanya vizuri katika urembo ambaye hivi karibuni aliingia mkataba wa mabilioni na kampuni ya Rainbow Shell ya China, Jokate Mwegelo amesema katika harakati zake za kusaka...
Mwanamuziki wa nyimbo za injili Flora Mbasha amedai kuwa Emmanuel Mbasha hakuwa chaguo lake kwa sababu ya kufanyiwa vitendo vya ukatili na mumewe huyo.
Source: gazeti Mzalendo.
Hivi inamaana...
Mi nauliza huyu mtu anajiita Lemutuz, kwanza kabisa umri wake, elimu yake na kazi amayofanya. Mana vitu anavyofanya, ninavyokadiria umri wake, elimu anayodai anayo, exposure anayodai anayo...
Baada ya kumvisha pete mchumba wake Shilole siku ya birthday yake,msanii Nuh Mziwanda amesema kuwa muda wowote kuanzia sasa atamuoa mchumba wake huyo.
''Kumvisha pete mchumba wangu ni hatua kubwa...
Nilisikitishwa sana baada ya kutambua kuwa pamoja na kuwa na mlima kilimanjaro, ziwa Tanganyika, migodi, mbuga na mengineyo bado kuna watu wapo hapahapa afrika lakini hawaijui wala hawajawahi...
Katika moja ya watangazaji ambao wanajtahidi kuifanya kazi hii iwe na heshima ni Millard Ayo. Sitaki kumzungumzia kwa upande wa utangazaji, nataka nimzungumzie katka upande wa ujasiriamali wake...
Mkurungezi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta' Asha Baraka amemuonya msanii anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond' kutojaribu kujihusisha na...
Mzazi mwenzake na mbunge wa mbeya mjini bwana joseph mbilinyi aamua kuvaa pampers kwenye kusherehekea siku yake ya kuzaliwa hapo jana. Watu mbalimbali akiwemo lemutuz walihudhuria.
Wana Jamvi wasalaam!
Happy New year 2015.
Allah ni mwema wakati wote!
Wana jamvi bila shaka kila mtu analikumbuka shindano la kusaka vipaji vya waimbaji maarufu kama Bongo Star Search (BSS)...
Mkono wa sheria ! Achana na drama zake na aliyekuwa mwandani wake , Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz' , mcheza sinema ' grade one ' Bongo , Wema Isaac Sepetu ' Madam' anapandishwa...
Staa anayetamba na ngoma mpya ya Nshumu
Nshumu , Rehema Chalamila Ray C amevamiwa na
kung atwa mguuni na paka anayesadikiwa kuwa na
kichaa hivyo kuibua mjadala kuwa endapo hatazingatia...
Staa wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba Dude ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana Ukimwi na mbaya zaidi wanaambukizana wao kwa wao.
Akizungumza na gazeti...
STAA wa filamu Bongo ambaye miezi michache iliyopita alifunga pingu za maisha na mwanaume mwenye asili ya Denmark , Lucy Komba amekwea pipa
kuelekea nchini humo kwenda kuishi na mumewe sambamba na...
DUNIA ina mambo! Wakati mkewe mwanamitindo
Jacqueline Fitzpatrick Cliff Jack Patrick akiwa nyuma
ya nondo kwa msala wa madawa ya kulevya unga
nchini China, mumewe , Abdulatif Fundikira ...
Msanii mwenye jina kubwa hapa bongo ally kibba Jana 19.12.2014 ameachia video iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wake ya Mwana dsm nimeona tujadili mapungufu yake ili aweze kujirekebisha...
Habari tulizozipata kupitia mtandao wa GPL zinasema,-MWIGIZAJI na mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia, Patcho Mwamba hivi punde ameibuka katika ofisi za mtandao huu na kukanusha vikali-taarifa...
Habari zilizoenea kwenye magazeti na mitandao ni kwamba Muimbaji wa nyimbo za injili Rose Muhando safari hii amemtapeliAlex Msama baada ya kupokea fedha kwa makubaliano ya kushiriki Tamasha la...
Tukiwa tumebakiza Siku chache kabla ya kumaliza mwaka 2014 tukutane hapa kuchagua wimbo bora uliokupendeza mwaka huu.
Nimeona tujichagulie wenyewe kwa kupiga kura zetu hapa JF kabla ya wale jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.