Mdada mtangazaji wa star tv ameolewa na Raymond Nyamwihula ambaye naye allikuwa mtangazaji wa star tv, ila kwa sasa anafanya kazi Arusha ni Beural master. wameonesha harusi yao kwenye citizen...
hivi kuna mtu aliwika na kupendwa kama juma nature sasa yuko wapi so huyo yaliyompata ajue ndio mwanzo wa mwisho kawaida tu,mzee reksa alisema kila zama na kitabu chake
Yule celebrite aliyekuwa mtangazaji wa Redio Clouds Othman Njaidi amerejea bongo baada ya kukaa jela huko marekani kwa muda mrefu, karibu bongo mwendo mdundo,unaona ilivyobadilika
Hii imetokea katika club mmoja nchini Uganda baada ya Davido kutoka katika club hiyo na kurudi Hotelini.Davido kwa sasa yupo nchini Uganda.Mwenyeji wake ambaye ni Mdogo wa Jose Chamilion...
Huyu bi dada ni mtangazaji wa Clouds tv yaani anaboa mpaka kichefuchefu. Yupo kwenye kipindi cha Weekendchart show.. kwanza bi dada much know mbaya halafu full kuiga pozi za Nick Minaj, hayupo...
Ehee kwenye pita pita yangu mitandaoni. Ndo nikashangaa kabinti kako Kwa bibi U.K. Nimezoea ya wale wengine kuanzia kwenye ndege mpaka kitandani tungetupiwa tukio, mbona huyu mwana dada ambaye ana...
Staff of Jay Z's Roc Nation wrote in to MediaTakeOut, claiming that Beyonce came into their office to see Jay Z and may have given him oral sex in his office.
Below is what she said I work at...
Mshindi wa pili wa BBA Hotshots, Tayo kutoka Nigeria amekanusha ripoti zilisambaa wiki hii kuwa amezawadiwa $350,000 na bilionea wa Nigeria baada ya kuzikosa $300,000 za BBA zilizonyakuliwa na...
Nyumbani kwa muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi.
Kwa...
Binafsi nimekuwa nikifuatilia hili suala la Diamond kuwa na msuguano na Davido tokea ushindi wa Idris Big Brother na nikiri kuwa Diamond hakupaswa kusema aliyosema dhidi ya Davido kwa sake ya...
Kuna mtu ana taarifa za huyu DJ maarufu aliyekuwepo Radio One miaka ya 1997..
Kama hawa wanaotoa tunzo za music wangekuwa wapo makini na tunzo zao basi wangeweka tunzo ya wakongwe
waliopambana...
wizkid ambaye ni msanii wa nigeria na hasimu mkubwa wa davido ameitakia happy indepence day Tanzania.Hii imekaaje au ndio kutumia fursa kwa lile wingu lililoibuka upande wa davido na watanzania...
Ni muda mrefu sijawasikia watangazaji maarufu wa michezo wa Radio one. Kama ni likizo haishi tu au mmesajiliwa china kama mlivyokuwa mkijinanga Radioni? BI Joyce tunaomba watangazaji hawa warudi...
Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.