Kwenye moja ya magazeti ya udaku ya leo nimeona habari ya Lulu kumwaga million 1 na laki 4 kwenye birthday ya Kajala, halaf wengine wanamwita yeye tajiri mtoto. Jamani kumwaga 1.4 million tshs ndo...
Katika Kipindi cha TV cha Wema Sepetu Kiitwacho In My Shoes Wema Usiku huu wa Leo Amedai kuwa hawezi Kumsapoti Mwanamuziki Diamond kwenye Tuzo za Mtv Awards kwa vile Kufanya Hivyo ataonekana...
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu amemshtaki aliyewahi kuwa mchumba wake Faiza Ally na aliyezaa naye mtoto kwa madai kuwa mwanamke huyo hana maadili na anahofia atamharibu mtoto wao...
...Wa kwanza kuuza tape mwenyewe, wa kwanza kufanya biashara na Wadosi, wa kwanza kwenda Ulaya kufanya show, 98 jukwaa moja na Oliver Mutukuz Sweden, wa kwanza kuleta wanamuziki toka America Lost...
Mama wa EGYPT kaja na list mpya sasa iwahini muiweke hapa kabla hao waliotajwa hawajamwakia awaondoe from her blog
10 MOST INFLUENTIAL TANZANIAN WOMEN FOR THE YR 2011......
Kwangu binafsi ni mtangazaji niliyekuwa namkubali mno kipindi hicho alipokuwa redio Tanzania Dar es salaam na sasa ni TBC.
Alikuwa akinivutia mno hasa wakati wa matangazo ya mpira wa miguu aka...
Mimi ni mdau mkubwaa sana wa mziki sana. Huwa napenda kufuatilia kila mwanamziki awe mdogo au awe mkubwa.
Tatizo lina kujaa palee baadhi ya wanamuziki wanapotoa music video utasikia anaenda ku...
DMX is getting within shooting distance of a deck of cards populated by his mug shots, because he was arrested again Friday night.
Law enforcement sources tell TMZ, the rapper was en route to...
Okey wadau za asubuhii...
Kwa wale wote wanaotetemeka juu ya Dangote kutoa kitu kipya calm down all of you, mtapasuka mwisho wa siku hahahaha, msijali hatoi nyimbo yake mpya kipindi hiki...
[Chorus x2:]
Let a nigga try me, try me
I'm a get his whole muh'fin' family
And I ain't playin with nobody
Mess around and I'mma catch a body
[Verse 1:]
B!*** I got the mac or the 40
Turn a b!***...
Aliyekuwa mume wa Flora Mbasha ametuma sms kwa Dullah kuwa anasikiliza Planet Bongo kipindi ambacho kinapiga nyimbo za bongo fleva (watu wa mataifa, kama ambavyo wanawaita wao).
My take:
Watu wa...
Leo nimeona picha ya wana magamba ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi,kilichonishtua ni hali ya aliyekuwa Iron lady wakati fulani Zakhia Meghji,kawa mdogo si kama yule mama aliyekuwa na siha...
Vanessa Mdee.
Maarufu kama Vee money yeye ni recording artist, rapper, songwriter, na mtangazaji wa vipindi vya television na redio,mitandao mengi ya huko nchini Kenya ili ripotiwa kumfananisha...
Salaam wanaJF,
Kuna msanii mwenye kipaji cha hali ya juu lakini hana bahati, hapa namaanisha kuwa nyimbo zake hazichezwi sana redioni wala kwenye TV. Lakini ukiangalia nyimbo zake Zina ujumbe...
NEWZTANZANIA.: USWAHILINI MATOLA..WAMEPOTELEA WAPI?
Jamaa walikuwa wakali sana miaka ile, Pini lao la HAKUVAA KONDOMU lilibamba sana.
Walikuwa wanaweza sana na albamu yao ilibamba pia.
Je,wako...
Hello wakuu!
Mimi ni mfuatiliaji wa Music. Katika siku za hivi karibuni umezuka ugomvi kati ya Birdman na Lil Wayne.
Natamani sana kuelewa chanzo chake kwa mtazamo wangu nahisi hawana ugomvi...