G_crisis
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 723
- 244
Kwangu binafsi ni mtangazaji niliyekuwa namkubali mno kipindi hicho alipokuwa redio Tanzania Dar es salaam na sasa ni TBC.
Alikuwa akinivutia mno hasa wakati wa matangazo ya mpira wa miguu aka 'kabumbu' na matangazo mengine ya kibiashara.
Kwa mwenye taarifa zake atujuze tafadhali,
Alikuwa akinivutia mno hasa wakati wa matangazo ya mpira wa miguu aka 'kabumbu' na matangazo mengine ya kibiashara.
Kwa mwenye taarifa zake atujuze tafadhali,