Huwa napenda kusikiliza hii Radio kila siku asubuhi wakati najiandaa kwa ajili ya siku yangu. Kuna mtangazaji wa radio hii anaitwa Kibwana Dachi, ni mzuri sana. Ana analysis kali na uelewa mpana...
Mchora katuni mashuhuri Masoud Ally Kipanya alimaarufu kama Kipanya amefunguka na kusema kuwa amekuwa akishawishiwa nawatu wengi sana kuingia katika siasa na kufanya siasa kutokana na harakati...
Nilikuwa nasikiliza hapa sasa hivi wimbo wa Lady Jaydee Bongo radio, nahisi ni wimbo wake mpya, unless niko nyuma ya wakati. Huu wimbo ni full vichambo kwa aliyekuwa mumewe Gadner, manake...
Kufuatia kupost maneno yanayoelekea kupiga kijembe viti maalum imetafrisiriwa kuwa ni kijembe kwa Wema Sepetu.
Lulu ameandika sura nzuri peleka reception, Tako Peleka (..)hapa ni vyeti na alama...
U Heard leo Soudy Brown kampata msichana ambae ametoka Mkoani kuja Dar kwa ajili ya kukutana na Aslay wa Yamoto Band.. Msichana huyo anadai ametoka Geita kuja Dar kukutana na Aslay.
Dada...
Muigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike, amedai kuwa licha ya kuzaa nje ya ndoa, bado anaamini ndoa yake ipo pale pale.
Akizungumza na Bongo5 leo...
Hawa watu wa bongo fleva na bongo movie tamati yao ya kujitamba na kuitaja Ikulu ovyo ovyo imewadia rasmi. Rais JK ndio rais pekee aliyeirahisisha ikulu na watu wakaanza kuiona ni sehemu ya...
Kwa uchunguzi uliofanyika kwa muda wa miezi miwili imegundulika kuwa TZ inaongoza kwa idadi kubwa ya macelebrity kwakua asilimia 90 ya watanzania ni macelebrity na hii inatokana na umaarufu...
Moja ya wasani maarufu duniani na nyota wa miondoko ya hiphop, rapa 50 Cent, aomba sheria ya kufilisika yenye kifungu cha 11 imlinde na mali zake huko Marekani.
Hoja hiyo ilikuja siku chache...
Umofia kwenu wana JF,
Ukisikiliza wimbo wa Qchief I'm a dreamer, kuna mstari unasema "Tangu mdogo Nilikuwa na Ndoto kuishi kitajiri Kama John Kaboko hata mbuyu ulianza kama mchicha Nina imani...
Vazi la suti ni vazi linaloheshimika sana duniani. Ni vazi pekee ambalo linavaliwa kwenye matukio makubwa na mtu kuonekana nadhifu. Leo nataka tuone mastaa sita wa hapa Bongo wanaoongoza kwa...
Huyu dada jamani simtaji ila huwa namuona karibu kila siku ya Alhamisi katika kile kipindi,kwakweli anavutia sana.
Nimalizie kwa kusema tu,nawe camera man kwa kummulika tu huyu dada haujambo...
1. Ni yeye ndiye aliyemfanya TID aanze kuimba. TID alikuwa rapper na mshereheshaji (MC). Girlfriend wa CBM Crew ndio wimbo waa kwanza kwa TID kuingia studio. Wakati TID ana host show nakumbuka...
HII KALI! Mdau na promota wa muziki wa bongo fleva aliyejichimbia kwa muda mrefu, ameibuka na kali nyingine, safari hii ni kwenye uwanja wa siasa. Kupitia ukurasa wake wa Facebook na Instagram...
Alikiba anashangazwa na jinsi watanzania na mastaa wenzake wanavyoupa uzito mdogo ubalozi wake wa shirika la Wild Aid licha ya kujumuika na mastaa wakubwa duniani kwenye kampeni ya kuzuia ujangili...
Habari nyingi kuhusu wasanii(nawaita wasanii japo sio wasanii) wetu wa filamu na muziki ni kuhusu ngono tu! hakuna misuguano ya kikazi au uboreshaji wa kazi zao bali ni tuhuma tu za kunyang'anyana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.