Kwa upande wa filamu bora zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania,basi kwenye hiyo listi Shumileta haiwezi kukosa hata iweje.
Stori ya filamu inasisimua sana na iliishia sehemu ya pili, na baada ya...
Unaambiwa Mwanamuziki wa RnB R Kelly anatazamiwa kuachiliwa huru kutoka gerezani Disemba 21 mwaka 2045 na wakati huo atakuwa na umri wa miaka 78!
Mwaka 2021, R Kelly alihukumiwa kifungo cha miaka...
Nyota wa soka wa Senegal, Sadio Mané, aliwahi kufichua ukweli wa safari yake yenye maumivu, upinzani na ndoto kubwa kabla ya kufanikiwa katika soka la dunia.Mané anasema kuwa akiwa mdogo, mama...
Nikiangalia muziki unaoimbwa Nigeria 🇳🇬 miaka ya hivi karibuni na nikitupia macho muziki wa kina 2Baba (zamani 2face idibia), P Square hawa jamaa waliimba kwelikweli.
Hawa jamaa walikuwa na...
H baba alikuwa anajiliza mitandaoni amefiwa na mama yake katoa mpaka maelekezo msiba ulipo na namba katoa ila hakuna pole yoyote aliyopokea pia ukimtoa mkewe Flora Mvungi hakuna msanii yeyote...
"Yamoto band wanasema hawanijui kweli? Namshukuru Mbosso Kwa kupokea Simu zangu na mara nyingi amekuwa karibu nami.
Kwa watanzania wenye mapenzi mema na Mimi naomba mnisaidie mchango wa kifedha...
Ukiwa mdumavu wa akili hatua inauofuata ni kutopea kwenye umaskini kisha kuanza kuamini kila jambo unalosikia na kuona .
Ukiambiwa Abdul amenunua private jet unajaa.
Ukiambiwa andamana upiganie...
Kuna mdau mmoja humu kauliza swali kama kiredio na demu wake wamewchana.
Hata hivyo kamati ya umbea ya JamiiForums ikiongozwa na Gentamycin imefuatilia na kubaini Demu wa kiredio anayejulikana...
KIMEELEWEKA! Baada ya kuruka viunzi vya hapa na pale, hatimaye, mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ameridhia kupokea posa ya rubani wa ndege, Hamdan Zakwani ‘Danzak’, Gazeti la...
Msanii maarufu wa muziki kutoka Afrika Kusini, Sho Madjozi, amejikuta katika mvutano mkali wa kisheria na timu yake ya zamani ya usimamizi, Black Major, kufuatia madai ya kutolipwa kwa kamisheni...
Alhaji Amri Athumani, maarufu King Majuto au Mzee Majuto, alikuwa msanii mashuhuri wa filamu kutoka Tanzania aliyezaliwa Tanga, Agosti 1, 1948 na kufariki Dar es Salaam Agosti 8, 2018...
Ndugu wana jukwaa,
Leo ni siku ya huzuni tunapopokea habari za kuondoka kwa mmoja wa magwiji wa kweli wa filamu za mapigano kutoka Hong Kong—Leung Choi-sang.
Kwa wale tuliozaliwa na kukua...
Habarini wanajamvi.
Kizazi hiki cha sasampa hovyo kabiSA, Sikujua Lili Nas x yuko vile.Nimefuatilia dogo ana laana yule.LAANA ZIENDE
KWAKE.Alitembeaga uchi uko marekani alikamatwa aliwekwa sober...
Mkudha: Rais wa CAF asema Burna Boy alizuiwa katika uwanja wa ndege wa Morocco kwa sababu ya thamani ya vito vyake vya dhahabu
Rais wa CAF, Patrice Motsepe, anasema Burna Boy alizuiwa kwa muda...
Mapema wiki hii mke wa mkubwa Fela amelalamika kuwa wasanii ambao mkubwa Fela aliwasaidia Sasa hawapokei simu wala kutoa msaada, mkubwa Fela amekosa pesa za matibabu yupo hoi nyumbani kwake hana...
Mara mia niangalie video ya Fagilia - Mr Nice au Mtoto wa Dandu - Sina Makosa.
Sio hii takataka ya Giggy Money - Go!
Aisee hamna kitu hapa. Wimbo katumia VO ya AI, video pia katengeza kwa cheap...