Msanii mkongwe wa muziki Matonya ameweka wazi ujio wa kundi lake jipya ‘Black Image’ likiwa na project mpya ‘Mr Magufuli Legeza Kidogo’.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo...
Mara baada ya Zarina mwana wa Hassan kupost ujumbe wenye utata kuhusu watu wanaomnyatia nyatia poozo lake la moyo Chibu dangote ambao ujumbe huo kwa namna nyingine ulionekana kumgusa Huddah Monroe...
Hawa clouds ni kiboko kwa wizi! Hii idea yao fiesta inayosema imoooo, ni idea ya Jose mtambo (msanii wa hip hop),huenda hata huyu msanii hajui ya kwamba kaibiwa kimstari chake.
Sasa ni hivi nenda...
AFANDE SELE NI RASTA,MWANAHIP HOP AU MPAGANI !!!!?
*kila mstari wake aliotaja Mungu weka Jua.
Imani ni kuwa nayohakika kwa mambo yanayoonekana nayasiyooneka.Kila utamaduni una...
Nimekutana na taarifa hizi za huyu Kaka'etu kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu.
Zina ukweli wowote au ni propaganda feki tu za mtaani?
Kama ni kweli,
Hongera sana...
Jamaa ana katabia fulani ka ajabu sana.ni mtangazaji mzuri sana tena sana.ila huwa anakera sana inapotokea anaitambulisha ngoma ya msanii hasa yule ambaye anampenda yeye.utamsikia...
Kanye West kicked off his Yeezus tour at Seattle's Key Arena on Saturday night by bringing Jesus out on stage.
According to MTV News, "Jesus" walked on stage before Yeezus performed College...
Kama ambavyo wewe umeshtuka, nami nilistuka hivyo hivyo kusikia habari za chini chini kumhusu huyu jamaa wa Bongo Movie aliyetamba sana miaka mitatu kurudi nyuma..
Nimekuja kuuliza tu kwa kuwa...
Ali Kiba na Diamond wote walifanya show Mombasa Kenya, aliyemfunika mwenzake sijui alikuwa nani, wadau watuambie
Ya Ali Kiba ilikuwa hivi
Ya Diamond ilikuwa hivi
wenzangu karibuni jukwaani aka bungeni tujadili kwanza suala la aka katoto kadogo jinsi kanavyokuja kwa kasi mujini, nani anayempa jeuri ya matanuzi ya kutisha mjini? Maana bata anazokula huyu...
hivi kuna staa mwingine Afrika mashariki ni mrembo na mzuri kumzidi huddah maana huyu binti huwa nachungulia picha zake kwenye page yake naona kila siku anazidi kuwa mrembo na mzuri,ki ukweli...
Msanii wa filamu Elizabeth Michael leo 7 Feb alifikishwa mahakama kuu kanda ya Dar es salaam kwa kesi ya mauaji ya bila kukusudia,kwamba April 7 2012 maeneo ya Sinza Vatican mshtakiwa alimuua...
Touching words!
This letter goes out to.. to the seeds that I might not get to see
cause of this lifestyle
And I'm sorry for not bein there
Just know your daddy was a soldier, me against the world...
Baba wa muimbaji wa ‘Burger Movie Selfie’, Belle 9 amefunguka kuwa hapo mwanzo hakutaka mwanae afanye muziki na badala yake alipenda aingie kwenye kilimo.
Amesema mwanae alipomaliza tu darasa la...
Kwa wale wapenda mziki mzuri Sauti sol wameachia video ya wimbo wao unaoitwa kuliko Jana,ngoma iko poa sana na video yake iko poa unaweza kuitazama hapo chini nimeiweka!
Kila siku lazima tusikie wasanii wakitajwa kwa kubadili wenza, kutumia madawa ya kulevya, uvutaji wa bangi, na mauza uza mengine mengi tu kama vile kutuhumiana kutumia ushirikina ili kung'arisha...
Baada ya kuruka ruka kwa miaka mingi bila mafanikio,hatimaye mkali wa mapenzi nchini amempata mtu wa kuzeekea naye,mama huyo ameamua kutua kwa nguli la michezo nchini kutoka redio ya mawingu,awali...
WANAMUZIKI WA HIPHOP (10) MATAJIRI ZAIDI DUNIANI.
1.DIDDY
Mbali na mziki Diddy ametengeneza fedha nyingi kwa miradi mbalimbali nje ya mziki kama mkataba wa kutengeneza vinywaji vya Diageo's...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.