Kwa wale wafutaliaj wa mambo watakuwa wameolidavua hili sasa kuna kundi A ambalo lenyewe linajiona kila kitu halitak ukaribu kabisa na kundi B hili linaundwa na Diamond na WCB,shettah, ney wa...
Mi napenda huu mchezo wa basket hua unaniua kabisa
Hebu cheki hapo alivyoushika huo mpira sijui anataka kurusha 3 point au!!!jionee mwenyewe masogange naona kaachia huu mzigo sijui nani...
Namuona hapa huyu mtu mliyemsema anaitwa Kicheko anahojiwa Clouds Tv kumbe ndo huyu, nakumbuka niliwahi muona EATV kwenye comedy, ila mbona ameingia Clouds kwa mbwembwe sana hajui kwamba kuna siku...
MALALAMIKO MAZITO KUTOKA KWA CHID BENZ, KWA WANAOSEMA AMERUDIA UNGA MALALAMIKO MAZITO KUTOKA KWA CHID BENZ, KWA WANAOSEMA AMERUDIA UNGA | RAHA ZA WALIMWENGU
Season ya Antlantis
Bongo Movie
Nowadays, Seasons ni habari ya mjini kwasasa,Why Bongo Movie kimyaa?
Wakati tuna waigizaji wa kweli Hapa Tanzania?
Ikiwemo Ray,Richie Rich,Lulu,Wema sepenya...
Mwanamama maarufu mwenye haiba ya kipekee mjini, mange kimambi, hivi karibuni aliwaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya ku post video akicheza wimbo wa mwanamuziki mkongwe nchini, dully Sykes...
Haya hayaaaa
Wale wenye timu zao wakina timu Domo na timu Kibakuli naona mambo yanapamba moto. Tarehe 13/9/2016 new hit song la Baraka ft Alikiba linaachiwa rasmi.
Amini usiamini hili ni...
Habari ndugu zangu.
Tunafaham kuwa ni siku chache tu tetemeko la ardhi limetokea mkoa wa kagera na kuathiri maeneo mengi hasa manispaa ya bukoba.
Na siku kadhaa kabla ya tetemeko tukio la...
Habari zinazoenea kwa kasi chini ya kapeti kuhusu staa wa filamu nchini, Elizabeth michael aka Lulu hivi karibuni kushushiwa kipigo "heavy" na mpenzi wa sasa ambaye pia ni mmliki wa radio maarufu...
Mkali wa wimbo ‘Bado’ Harmonize amefunguka na kuelezea harakati zake za muziki mpaka anafika kwenye mafanikio huku akiweka wazi jinsi alivyoambiwa hajui kuimba na Master J katika shindalo la BSS...
Jesph, Mkewe Juhaina na mtoto wao pamoja na Chaka Khan.
Apparently Joseph kusaga alipewa sharti la kumwoa yule binti wa Kingazija (Juhaina) wakati alipokuwa anafanya kazi pale Greenland Bank...
Beautiful onyinye wema sepetu sepetunga ameonesha umahiri wa hali ya juu wa kucharaza kiarabu licha ya kuwa hajioneshi kuwa anafahamu lugha hiyo
Kupitia ukurasa wake wa instagram mrembo Wema...
Muigizaji na mshindi wa tuzo ya oscar, lupita nyong'o, hvi karibuni amepata shavu jingine kubwa ambapo sura yake itaonekana kwenye jarida maarufu nchini marekani linalodeal na mambo ya fashion na...
Daah,sijui kama ingekuwa jamaa yetu wangefika kweli!Pia wadau tujuzane wasanii ambao wameshatinga magogoni awamu hii ya 5!Sijaona post hata moja ya msanii akiwa na JPM 2016
Msanii Mataluma aliye wahi kubamba na ngoma zake kama vile ,mama mubaya, na kariakoo ameamua kurudi rasmi kwenye mziki baada ya biashara iliokuwa ikimuweka hapa mjini ya kuuza mkaa kumdodea...
BARUA KWA DIAMOND
PLATINUMZ na MAMA YAKE
MZAZI
Mbeya region
P.O.BOX 0759209081
MBEYA
Dear diamond....
sina imani we ni mzima wa afya
kutokana hasa na mambo
unayofanya kiukweliii katika...
Mwanamuziki Esterina Sanga maarufu kwa jina la Lina ameamua naye kulipa kisasi kwa Wema kwa kumchukua mpenzi wa Wema aitwaye Idrissa Sultani
Linah kaamua kufanya hivyo kwa kuwa Wema siku za nyuma...
Msanii mkongwe wa muziki Matonya ameweka wazi ujio wa kundi lake jipya ‘Black Image’ likiwa na project mpya ‘Mr Magufuli Legeza Kidogo’.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.