KUNA vita ya maneno kati ya makundi mawili ya mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva, wanaowashabikia wasanii Alikiba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, kila upande ukidai mtu wao ndiyo anajua zaidi kuliko...
Naweza nisiwe sahihi..
Juzi kati hapa nikiwa napitia nyuzi kwenye Jukwaa hili la Celebrities ambalo ni mahsusi kwa ajili ya habari za watu maarufu, nilikutana na uzi huu - Huyu mtangazaji kipindi...
'Nusu saa ya mshale...nusu suruale.... Niruhusu nisimame, nikuruhusu ulale'.
Sijui kama kweli uwa tuna pay attention ktk mistari ya hawa watu.
Tusaidiane hapo. Kama una line yeyote tata iweke hapa.
Nikiwa kama mdau na mfuatiliaji mkubwa wa sanaa hapa nchini, nimesikiliza kwa umakini, malalamiko au shutuma zinazotolewa na msanii Ruby, kwa kituo cha Redio cha Clouds FM, tamasha la Fiesta...
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa amigo mwimbaji wa jahazi modern taarab ndiye mfalme mpya anayemrithi mzee yusuff baada ya mzee kuacha mziki
Anasubiri tu kutawadhwa rasmi kuwa mfalme wa...
Mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi zake nchini Marekani, Flaviana Matata ameushitaki mfuko wa pensheni wa PSPF mahakamani akitaka alipwe shilingi milioni 165 kutokana na mfuko kwa kosa la...
Kati ya mambo ambayo Taifa la Tanzania ningejifunia nayo ni mwandishi wa vitabu katika anga ya Kimataifa ni Godfrey Mwakakigile. Huyu jamaa alikuwa ni moja kati ya mwandishi bora katika bara la...
Diamond Platinumz na Wizkid warekodi selfie video nakutupia mtandaoni kuwa wamekutana na wanatengeneza something new.
Katika video ameonekana mdada akimkiss diamond platinumz, pipoz zinasema...
Msanii wa muziki wa kisingeli, Amani Khamisi ‘Man Fongo’ amewataka wasanii wa muziki wa bongofleva kupokea ushindani mpya kutoka katika muziki wa kisingeli.
Muimbaji huyo anayefanya vizuri na...
Yule Mwana Dar es Salaam, Kingkiba, Balozi wa wanyama, Msanii pekee aliyetoboa Kimataifa bila Collabo, Kiboko ya Wizkid, Fundi na Master wa game ya mziki wa Africa "Alikiba" ambaye kwa sasa ndiyo...
Mtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja wa wasanii waliosajiliwa...
Hivi Ndivyo mtandao huo...
Hatimaye Mtangazaji wa Kituo cha Radio cha E-Fm(Wazee wa Huu mchezo hautaji hasira) ameachana rasmi na kambi ya ukapela na kuvuta jiko.
More pics to come
Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku...
Ndio maana imeagizwa mwanaume amuoe mwanamke. Inapotokea mwanamke akamuoa mwaname hiyo ndoa haiwezi kudumu.
Ndoa anayolewa mwanaume hukoma mara tu pale mwanamke atapomchoka mwanaume au hamu...
Huyu dada bwana namzimikia hasa utangazaji wake, ametulia anaongea kwa utaratibu, nimemfahamu Muda toka akiwa ITV na akiwa kwenye gazeti la KIU jamani mwenye namba yake anisaidie japo nimpe...
Diamond amekuwa anafanya matangazo mbalimbali kwa njia ya kuimba!! Japo watu wanasema Hajui kuimba ila kuna matangazo mimi huwa nayapenda sana kwa jinsi alivyo imbaa.
Haya ndio matangazo bora...
Habari zenu wandugu,
Miezi michache iliyopita ziliwahi kusambaa habari kuwa MwanaFA na AY wameshinda kesi mahakamani na kampuni ya Tigo imeamrishwa kuwalipa bilioni kadhaa pesa za kitanzania..Na...
Ndugu wana JF.
Awali ya yote nitoe pole nyingi sana kwenu kwa mahangaiko ya shughuli nyingi za kusaka rizki.
Wengi wetu tunajua leo hii ni siku ya kuzaliwa kwa mzee wetu kipenzi cha watz wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.