Unaishi karibu na msanii gani kitaa chako?

Mapensho star

JF-Expert Member
Jun 30, 2016
3,052
4,074
tupeane taarifa wakuu mitaani mwetu kuna wasanii wanaishi maisha ya shida sana lakin media zinatuaminisha kuwa wanaishi maisha ya juu kuna wasanii wamekufa na tulikuwa tunawapenda hakuna walichoacha hata kiwanja hakuna kwa ili linasikitisha pia kama kuna msanii huko mtaani ni kero wananchi tujue ni jinsi gani tunaweza kuwabadilisha jukwaani
 
Kwao na Fid Q

Alipokulia na alipoanzia maisha yake ya kimuziki.

#straight outta rufiji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom