Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 825
Ndo nimecheka.nilikua nawaza azimie kisa shoo
Sori blaza. hiyo show ipo kwenye Ratiba za mondi miezi kadhaa kabla ya show na alikuwa anapost karibu mwezi mzima kabla ya show. kwahiyo Alikiba alijua kuwa anaenda kwenye show ya Diamond ila DiaMond hakujua kama katika show yake kutakuwa na msanii wa "SAPRAIZI"hakuna msanii anayevamia show ya bure bure tu hiyo show kiba alilipwa na hakujua kama kuna diamond na wala diamond pia hakujua uwepo wa alikiba
ALIKIBA alikuwa mtumbuizaji wa mwisho huku DIAMOND akidhani yeye ndo alikuwa wa mwishoSori blaza. hiyo show ipo kwenye Ratiba za mondi miezi kadhaa kabla ya show na alikuwa anapost karibu mwezi mzima kabla ya show. kwahiyo Alikiba alijua kuwa anaenda kwenye show ya Diamond ila DiaMond hakujua kama katika show yake kutakuwa na msanii wa "SAPRAIZI"
hi ni kwa mwandishi sijui alikua anawahi wapi!!!!!