brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Nilikuwa nategemea kuna siku kama hii itafika.
Tangu Jay Z na Beyonce watose kuhudhuria
harusi ya Kanye West na Kim Kardashian miaka
miwili iliyopita, urafiki wa Yeezy na Hov uliingia
matatani.
Wawili hao kila mmoja amekuwa na maisha yake
na kinachowaunganisha sasa ni mtandao wa
Tidal wanaoumiliki pamoja, lakini hakuna urafiki
tena.
Na sasa Kanye yamemfika shingoni na ameamua
kuyatoa. Akiwa kwenye show ya ziara yake ya
Saint Pablo huko Seattle, Yeezy amemchana Hov
kwa masuala kibao, kikazi hadi kifamilia.
Amelalamika kuwa watoto wao, hata hawajahi
kukutana na kucheza pamoja licha ya kile
wanachokiamini kuwa ni marafiki. “I can’t take
this shit, bro,” alisema katikati ya show hiyo.
“Our kids ain’t never even played together.”
Yeezy alimchana pia Jigga kuwa asimpigie simu
kumpa pole kwa mkasa wa mkewe kuvamiwa na
kuporwa huko Paris, bali anatakiwa kwenda
nyumbani kwake na kumsalimia.
“You wanna know how I’m feeling?” Don’t call
me, after the robbery, and say ‘how you feelin?’
You wanna know how I’m feelin? Come by the
house. Bring the kids by the house like we
brothers. Let’s sit down.”
Pia Kanye alizungumzia uadui wa Tidal na Apple
unaomkera ambao anaamini unazuia mambo
mengi, huku akimtupia lawama Jay Z kuwa
chanzo. Alieleza pia kuwa mashabiki wasitarajie
album nyingine ya Watch the Throne.
Source :bongo5
Tangu Jay Z na Beyonce watose kuhudhuria
harusi ya Kanye West na Kim Kardashian miaka
miwili iliyopita, urafiki wa Yeezy na Hov uliingia
matatani.
Wawili hao kila mmoja amekuwa na maisha yake
na kinachowaunganisha sasa ni mtandao wa
Tidal wanaoumiliki pamoja, lakini hakuna urafiki
tena.
Na sasa Kanye yamemfika shingoni na ameamua
kuyatoa. Akiwa kwenye show ya ziara yake ya
Saint Pablo huko Seattle, Yeezy amemchana Hov
kwa masuala kibao, kikazi hadi kifamilia.
Amelalamika kuwa watoto wao, hata hawajahi
kukutana na kucheza pamoja licha ya kile
wanachokiamini kuwa ni marafiki. “I can’t take
this shit, bro,” alisema katikati ya show hiyo.
“Our kids ain’t never even played together.”
Yeezy alimchana pia Jigga kuwa asimpigie simu
kumpa pole kwa mkasa wa mkewe kuvamiwa na
kuporwa huko Paris, bali anatakiwa kwenda
nyumbani kwake na kumsalimia.
“You wanna know how I’m feeling?” Don’t call
me, after the robbery, and say ‘how you feelin?’
You wanna know how I’m feelin? Come by the
house. Bring the kids by the house like we
brothers. Let’s sit down.”
Pia Kanye alizungumzia uadui wa Tidal na Apple
unaomkera ambao anaamini unazuia mambo
mengi, huku akimtupia lawama Jay Z kuwa
chanzo. Alieleza pia kuwa mashabiki wasitarajie
album nyingine ya Watch the Throne.
Source :bongo5