Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu jamaa bwana kiukweli kibongobongo ni so underrated. Anavitu adimu sana kwenye flows zake, sasa hili jiwe kamshirikisha mkongwe G- Nako kwenye chorus na verse 2 kasimama Dizasta vina 'the...
10 Reactions
65 Replies
3K Views
Dar es Salaam. Msanii wa filamu na mfanyabiashara Tausi Mdegela anasema kutokana na kimo chake kifupi, kuna baadhi ya watu katika jamii na mitandao wanaona hastahili kufanya baadhi ya vitu. Hayo...
10 Reactions
38 Replies
2K Views
Mwijaku amekutana na Diamond Platnumz kwenye Ukumbi wa Mkutano wa CCM mjini Dodoma.
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Mwanahabari mkongwe na aliyepata kuwa Mkuu wa Wilaya enzi ya awamu ya nne, mama Betty Mkwasa na mumewe Charles Boniface Mkwasa yafikia miaka 35. Charles Boniface Mkwasa mchezaji na kocha wa...
64 Reactions
134 Replies
8K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, msanii wa muziki na mmiliki wa biashara, ikiwemo WASAFIBET, ameamua kuwatukana vijana wa kitanzania kwa makusudi kwa kuchapisha tangazo lenye nia ovu ya...
15 Reactions
113 Replies
5K Views
Habari wakuu. Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi maalumu wa kufahamu walipo baadhi ya watu wetu waliowahi kujulikana sana enzi hizo. Leo naanza kwa kutaka kujua wapo wapi watu hawa? 1) Flora...
17 Reactions
534 Replies
125K Views
Amani iwe kwenu wakuu Kuna member wa JamiiForum aitwaye screpa alileta uzi kumhusu msanii dully skys naona leo BBC wamepita nao kiaina Soma pia: Kwanini Dully Sykes anasema yeye ndiye...
13 Reactions
64 Replies
3K Views
The Unforgetable THROW BACK 🔥🔥🔥 Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat Sirnature...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Ameandika kwenye ukurasa wake wa X. "Mimi nikiona mtu analaumu wasanii kwenda kwenye events za CC EM kufanya show huwa namshangaa sana!! Wasanii ni wafanya biashara, wame invest kwenye hiyo...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu, Kwenye hii challenge walitakiwa kusema Rais Samia kazailiwa lini. Pale ambako hata yule wanayemuita mjumbe maalum wa Ikulu kachemka, ila wanasema mama kafanya, kile, na hiki. Ni kwasababu...
1 Reactions
0 Replies
594 Views
Nadhani wote tunamjua jamaa Mziki wake ulikuwa miaka ya 2000 lakin ukiisikiliza Leo anaweza wafunika hata Hawa mcees wa sasa. Najiuliza kwann jamaa aliamua kuacha kuimba? Mbna alikuwa na...
2 Reactions
43 Replies
10K Views
DIZASTA VINA ~ STRING THEORY 🎶 👉🏽Wataalam wa Physics nadhani wanaijua vizuri sana hii, na kwakuwa ni taaluma za watu, naomba nirekebishwe kiustaarab pale nitakapopuyanga 😅👊🏾 Tunaambiwa hii...
8 Reactions
44 Replies
3K Views
Wakuu Kama mnavyoona picha hapo chini, Ingawa ni haki yao kushiriki, ni muhimu kujiuliza: Je, wasanii hawa wanapochangia katika majukwaa ya kisiasa wanachangia kwa lengo la kuleta mabadiliko ya...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Nimekuwa nikimsikia mara kwa mara akijigamba hivyo kwenye media, na sielewi anamaanisha nini maana maandiko mbalimbali ya historia ya bongofleva hayatambui hilo. Kama anamaanisha 'kuimba' mbona...
6 Reactions
68 Replies
3K Views
Mr Nice - Kidali Po, Hii Track ilishika kote kuanzia party za watoto, disco, clubs, MAhafali, n.k. huu moto sidhani kama utakuja kufikiwa. ana ana ana dooo kachani ka basto displine matido...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni shabiki wa Zuchu kwa kiasi fulani... Kuna huu wimbo wake mpya unaitwa "antenna" nimeusikia sikia huko mitaani nikasema ngoja nitafute video niangalie. Aisee, kwenye ile video ameweka...
5 Reactions
62 Replies
5K Views
Jinsi 2Pac Alivyobuni "Ambitionz Az a Ridah" 😯 "Ambitionz Az a Ridah" ni wimbo wa ufunguzi katika albamu ya nne ya studio ya 2Pac, "All Eyez on Me," iliyotolewa mwaka 1996. Jina la wimbo huu ni...
4 Reactions
5 Replies
774 Views
Kuna seminar moja nimeattend hapa mjini nikamkuta huyu kijana kaalikwa akaongea kwa kiasi chake tena kwa confidence ikabidi nimsearch gooogle ndo nikakutana na haya.. alivooongea tu nkaona kitu...
7 Reactions
149 Replies
31K Views
NXT Honors kutoka nchini Nigeria imemtangaza rasmi nguli wa muziki na Mfalme wa Bongo Flava Alikiba, kama mshindi wa Tuzo ya Heshima ya Maisha ya 2024, na kumfanya kuwa mtu wa kwanza asiye...
11 Reactions
25 Replies
2K Views
jamani mwenye habari kuhusu ile habari ya general wetu na ile ishu ya 3 Trilion
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom