Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Post deleted by author
0 Reactions
48 Replies
15K Views
Hivi ninyi Team Kiba mbona mna chuki sana iliyopitiliza kwa Diamond? Mimi nashangaa sijui dogo wa watu kawakosea nini. Watanzania huwa tuna wivu sana kuona mtu ana mafanikio. Wivu haujengi kama...
15 Reactions
72 Replies
7K Views
Baada ya kazi ngumu ya kulitumikia Taifa kama Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Waziri Nape Nnauye hapa anaonyesha kipaji chake kingine cha kupiga gitaa na kuimba. Kazi na dawa waungwana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakati tukiendelea na stori za views kununuliwa, kijana wetu asiyechoka kusaka pesa anakuletea kitu kipya, kitu maridadi, CHIBU PERFUME #THESCENTYOUDESEVE.
6 Reactions
120 Replies
16K Views
Diamond Platnumz ni mmoja wa wasanii wakubwa barani Afrika kwa sasa. Siku za hivi karibuni alipata nafasi ya kushiriki tamasha la muziki la Coke Studio Afrika kusini ambapo alitengeneza wimbo...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Amefunguka ya moyoni wakati akiteta na shaydee wa Clouds fm
3 Reactions
70 Replies
10K Views
Mzee wa Ubuyu, Soudy Brown kafanyiwa interview na TBC amabapo ana dai ndio sehemu iliyomlea amefungukia aanvyotukanwa instagram na anavyochulia. Pia amesema anapenda kuvaa mask kama swag tu, na...
5 Reactions
34 Replies
10K Views
Sikuwahi kusikiliza nyimbo za huyu jamaa, kama bahati kupita pita youtube nakutana na nyimbo ya jamaa inayokwenda kwa jina la "ibaki story" nimejikuta natafuta nyimbo zake za nyuma, kwa kifupi...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Take little look ya hizi video mbili ya ommy alioachia wiki imepita na video ya cokestudio walioachia cku tatu kama cyo mbili zilizopita,l Video ya ommy INA views 611k na video ya coke studio...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Anti Ezekiel amefunga ndoa Kimya Kimya siku moja baada ya kuomba msamaha kwa kuvaa nguo iliyoonyesha kufuli lake. Hapa ni baada ya kufunga ndoa tayari. Hapa...
0 Reactions
149 Replies
44K Views
Chekibud anadai mwanamke anamsingizia kuwa mtoto ni wake kwa kuwa wanafanana anadai anafanana na watu wengi na sio watoto wala ndugu mwanamke anadai walikutana club billicanas wakafanya kwa usiku...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Nikimuona Diamond na kina Kiba na wanamuziki wengine wakila bata najua ni mziki wao unawalipa. Ila kuna hawa watu maarufu huko Instagram kama kidada fulani Tunda na wengine, picha zao zimekaa...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Msanii wa Bongo Mobie Nisha amedai ana mimba inayotokana na kubakwa. Anadai alibakwa kwa sababu mpenzi wake huyo alimrubuni kisha kumuingilia kwa nguvu, anaongezea hilo linaonekana ni jambo la...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Msanii Man Fongo amedai BASATA walitaka kufungia waimbo wake wa hainaga ushemeji lakini akawatuliza na kuwaambia hayo ni mambo ambayo yapo labda wenyewe wanaishi nyakati zilizopita ial kwa sasa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
kumbe diamond alimpa mama yake nyumba..nice
0 Reactions
35 Replies
10K Views
Clouds ikiongozwa na mkurugenzi wao RUGE walisusa kupiga nyimbo za mwanamziki Rubby kama walivyofanya kwa LADY JD kutokana na Rubby kuwagomea kufanya show ya FIESTA kutokana na malipo madogo...
17 Reactions
50 Replies
8K Views
Msanii wa kitambo wa bongo flava, Hakeem5 akiulizwa kuhusu ushauri aliopewa na Abby Skills kuhusu kumuomba msamaha Ali kiba amedai katu hawezi kufanya jambo hilo Amesema yeye aliongea ukweli...
4 Reactions
71 Replies
13K Views
Back
Top Bottom