Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Baada ya Mtv ema kumpatia Alikiba tuzo ya african act kutoka kwa Wizkid ,mashabiki wa Tanzania hasa wa Alikiba wamevamia ukurasa wa Instagram wa star huyo wa Nigeria na kumtukana. Leo Wizkid...
4 Reactions
92 Replies
10K Views
Msanii wa filamu za kibongo, Kajala Masanja amevunja ukimya na kufunguka kuhusu maneno yaliyokuwa yanazunguka mwa muda mrefu mitaani yakimtaja kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa nyakati tofauti...
3 Reactions
40 Replies
12K Views
Calisah aliwekewa mtego alipoenda kwa wema kuomba msamaha, kufika akadakwa na polisi waliokuwepo hapo na kuambiwa atoe simu yenye video za utupu alidai hana simu na kupelekwa kisha kusekwa rumande
2 Reactions
103 Replies
35K Views
Leo Mwana Fa ameachia ngoma yake ambayo ni mwiba mchungu kwa kina dada wa mjini wanaopenda na kuishi kwa kuombaomba. Ngoma inaitwa Dume Suruali. Nihonge nanunua nini? Kwa nini yani? Kwa kipi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nani anajua zaidi kwenye dancing?
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Hazikuwa habari njema sana siku mzee Yusuph gwiji wa taarab za kileo pale alipotangaza rasmi kuachana na mziki huu na kumrudia Mola wake... Habari zilienea kwa kasi na mijadala ilikuwa mingi...
30 Reactions
164 Replies
31K Views
Jamani huyu dada ananikosha Sana sauti yake, nataman nimfahamu sura yake ikoje, nilishawahi kumuuliza mtu anipe picha yake akanipa picha ya dj sinyorita bahati nzuri nilikuwa namfahamu, please...
3 Reactions
98 Replies
16K Views
Huwa najiuliza hawa wasanii wanaoshiriki kwenye Coke Studio wanalipwa kiasi gani? Anayejua atuambie packages wanazopata wasanii. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Hii ni fundisho kwa wanawake wote usiparamie Mwanaume hovyo kabla hujamjua vingenevyo muanze na system ya Kugegendwa gizani
8 Reactions
140 Replies
52K Views
Kibosile aliyekuwa anam sponsor mrembo Tunda, ikiwa ni apamoja na kumjengea nyumba ya milioni 100 , gari pamaoja na kumpa fedha nyingi za matumizi amemtema Hii ni baada ya kugundua mrembo huyo...
4 Reactions
112 Replies
28K Views
Magwiji wa mitandao nchini Tanzani walishindanishwa katika mtandao wa twita katika kipengele cha anayeandika mambo yakuudhi zaidi Tanzania.... Mwana jf Yericko Nyerere ametangazwa leo mshindi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF, Msanii mkongwe nguli Inspector Haroun Babu aka Tripple 5 ameanza kuisoma namba.Tukio la aina yake lililoacha watu vinywa wazi ni pale alipoandaa show kabambe ukumbi wa Buswelu pub...
3 Reactions
63 Replies
14K Views
Kwanza kabisa napenda kukupongeza juu mafanikio uliyoyafikia kimuziki na kimaisha,,na pia nikupongeze juu ya maamuzi yako ya kuanzisha label ya WCB na kuwekeza mamilioni ya mapesa ili kuwezesha...
13 Reactions
32 Replies
4K Views
Mwanzilishi wa THT na Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa clouds FM, Ruge Mutahaba amesema kuwa licha ya Ruby kujiondoa kutoka kwenye usimamizi wake hawezi kushuka kimuziki sababu ana kipaji...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Muziki wa Bongo unaendelea kukua siku hadi siku na kutambulika kimataifa, kutokana na kazi za wasanii wetu kuendelea kushika chati mbalimbali kwenye vituo vikubwa vya kimataifa hadi kufika...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Baada ya Diamond kufanya marejeo ya wimbo wa Salome wa Dada Saida kalori.Uongozi wa Diamond uliamua kumlipa meneja wa Saida kalori kiasi cha shilingi milioni 25 huku Dada Saida kalori akiambulia...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Mtangazaji wa Clouds FM, Paul James aka PJ ameshtakiwa mahakamani na kituo cha redio cha EFM kwa kuvunja mkataba kinyemela Mtangazaji huyo aliondoka EFM mwanzoni mwa mwezi huu na kurejea kwenye...
16 Reactions
170 Replies
25K Views
Ni ukweli usiopingika wasanii Diamond na Alikiba ni lulu ya taifa kwa sasa hasa unapozungumzia suala la usambazaji wa muziki wa Bongo Fleva kwenda zaidi kimataifa na kuufanya uwe na thamani hata...
4 Reactions
80 Replies
13K Views
Jamani huyu dada alivuma sana lakini sijui nini kilimkuta na ghafla akapotea na naskia hayuko hata vizuri kiuchumi. Nashangaa kwasababu alipiga sana show kubwa lakini bado hakuwa sawa kiuchumi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Muimbaji huyo amedai hizo asilimia 25 za mapato za wimbo ‘Salome’ ambazo zilielezwa na viongozi wa WCB hazijui kwa kuwa hakuhusishwa kwenye hilo. “Tatizo limekuja kwa meneja wangu aliyempatia...
6 Reactions
104 Replies
18K Views
Back
Top Bottom