Ommy Dimpoz afunguka kuhusu kusakamwa anajipodoa kupita kiasi

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
601x455xOmmy-1.jpg.pagespeed.ic.G9tIq_qbug.jpg

Msanii mkali wa muziki, Ommy Dimpoz amesema haumizwi kichwa na kauli mbalimbali za mashabiki wake wa kwenye mitandao ya kijamii ambao wanadai kuwa anajipamba kuzidi.
Akizungumza katika kipindi cha Sporah Show cha Clouds TV, Ommy amesema yeye haumizwi na kauli hizo kwa kuwa anajijua yeye ni mwanaume wa aina gani.

“Ndo nasema haya maneno ya kwenye mitandao mimi hayaniathiri,” alisema Ommy Dimpoz.

“Mimi siwezi sema nipo tofauti na wanaume wengine, mimi nipo kawaida. Kwahiyo suala la kujipenda linaendana na hobby, kwa mfano kuna wanaume wanafanya vitu nasema no, huwezi mwanaume ukafikia kufanya hivi,” aliongeza Ommy Dimpoz.

Muimbaji huyo wa wimbo ‘Achia Body’, amesema swala la muonekano wake linamfanya achukue muda mrefu kujiandaa ili aweze kwenda sehemu.
 
601x455xOmmy-1.jpg.pagespeed.ic.G9tIq_qbug.jpg

Msanii mkali wa muziki, Ommy Dimpoz amesema haumizwi kichwa na kauli mbalimbali za mashabiki wake wa kwenye mitandao ya kijamii ambao wanadai kuwa anajipamba kuzidi.
Akizungumza katika kipindi cha Sporah Show cha Clouds TV, Ommy amesema yeye haumizwi na kauli hizo kwa kuwa anajijua yeye ni mwanaume wa aina gani.

“Ndo nasema haya maneno ya kwenye mitandao mimi hayaniathiri,” alisema Ommy Dimpoz.

“Mimi siwezi sema nipo tofauti na wanaume wengine, mimi nipo kawaida. Kwahiyo suala la kujipenda linaendana na hobby, kwa mfano kuna wanaume wanafanya vitu nasema no, huwezi mwanaume ukafikia kufanya hivi,” aliongeza Ommy Dimpoz.

Muimbaji huyo wa wimbo ‘Achia Body’, amesema swala la muonekano wake linamfanya achukue muda mrefu kujiandaa ili aweze kwenda sehemu.


Huyu Mbilikimo hana issue.
 
Nikweli uko tofauti na wengine wanaume coz jogo wako hawiki madimpoz
 
Back
Top Bottom