Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,205
- 15,162
Waungwana Salaam,
Miezi kadhaa Ney wa Mitego alitoa nyimbo yake iitwayo "SHIKA ADABU YAKO" huku akiwachana baadhi ya Wasanii na watu maarufu humu nchini.
Baadhi ya watu waliochanwa na Ney wa Mitego ni msanii wa Bongo Fleva,Omari Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz. Kwenye wimbo huo wa shika adabu yako Ney anaimba "...... huyu jamaa anajiita Dimpoz,poz kwa poz,wanae wanalalamika hawamjui shemeji, mtaani kuna tetesi mwana hapigi mechi Mara Ooh jogoo hawiki, waonyeshe shemeji......"
Baada ya nyimbo hiyo kutoka Ommy alidai kuwa atamleta Shemeji soon. Sijajua alifikia wapi kwenye hilo.
Hizo taarifa zilianza kupotea mpaka pale jana Lebo ya "Wasafi Classic Baby" maarufu kama WCB Walipachia Ngoma mpya. Ngoma iliyopewa jina la KOKORO ameimba Rich Mavoko akimshirikisha Diamond Platinumz.
Katika utambulisho wa ngoma husika,Diamond Platinumz aliandika Caption iliyozua maneno mengi na hata kudhibitisha kile alichokiimba Ney wa Mitego katika ngoma yake.
Caption yenyewe inasomeka mtoto wa kiume kumchukia Mwanaume mwenzio kisa kakataa kukupumulia nayo ni [HASHTAG]#KOKORO[/HASHTAG]
Baada ya hapo povu lilimtoka Ommy Dimpoz na kupost video moja na akiwa na Alikiba na kuandika caption kwamba haikuwa Vita. Alikuwa tu anawatania Timu UjanjaUjanja yaani WCB.
Sasa twende kwenye mada,Je ni kweli uliodhibitika kuwa Dimpoz ni Bwabwa aka Gasho? Yaani anapumuliwa Kisogoni.
Tujiulize tena,Je Diamond alikataa kumpasua Marinda Ommy Dimpoz na kupelekea mfarakano kati yao wawili?kitu kilichomlazimisha Dimpoz kuwa beneti na Wapinzani wa Dangote?
Miezi kadhaa Ney wa Mitego alitoa nyimbo yake iitwayo "SHIKA ADABU YAKO" huku akiwachana baadhi ya Wasanii na watu maarufu humu nchini.
Baadhi ya watu waliochanwa na Ney wa Mitego ni msanii wa Bongo Fleva,Omari Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz. Kwenye wimbo huo wa shika adabu yako Ney anaimba "...... huyu jamaa anajiita Dimpoz,poz kwa poz,wanae wanalalamika hawamjui shemeji, mtaani kuna tetesi mwana hapigi mechi Mara Ooh jogoo hawiki, waonyeshe shemeji......"
Baada ya nyimbo hiyo kutoka Ommy alidai kuwa atamleta Shemeji soon. Sijajua alifikia wapi kwenye hilo.
Hizo taarifa zilianza kupotea mpaka pale jana Lebo ya "Wasafi Classic Baby" maarufu kama WCB Walipachia Ngoma mpya. Ngoma iliyopewa jina la KOKORO ameimba Rich Mavoko akimshirikisha Diamond Platinumz.
Katika utambulisho wa ngoma husika,Diamond Platinumz aliandika Caption iliyozua maneno mengi na hata kudhibitisha kile alichokiimba Ney wa Mitego katika ngoma yake.
Caption yenyewe inasomeka mtoto wa kiume kumchukia Mwanaume mwenzio kisa kakataa kukupumulia nayo ni [HASHTAG]#KOKORO[/HASHTAG]
Baada ya hapo povu lilimtoka Ommy Dimpoz na kupost video moja na akiwa na Alikiba na kuandika caption kwamba haikuwa Vita. Alikuwa tu anawatania Timu UjanjaUjanja yaani WCB.
Sasa twende kwenye mada,Je ni kweli uliodhibitika kuwa Dimpoz ni Bwabwa aka Gasho? Yaani anapumuliwa Kisogoni.
Tujiulize tena,Je Diamond alikataa kumpasua Marinda Ommy Dimpoz na kupelekea mfarakano kati yao wawili?kitu kilichomlazimisha Dimpoz kuwa beneti na Wapinzani wa Dangote?