Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019. Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa...
12 Reactions
114 Replies
10K Views
Wasaniii wa Bongofleva Madee, AY na Chege (Samia Kings) wameshiriki kwenye shangwe za mapokezi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Mkata Mkoani Tanga ambako anaanza ziara ya kikazi leo. Soma...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Voletta Wallace, mamake marehemu nyota wa hip-hop Notorious B.I.G., amefariki dunia. Alikuwa na umri wa miaka 72. TMZ inaripoti Wallace alikufa kwa sababu za asili Ijumaa asubuhi huko Stroudsburg...
8 Reactions
28 Replies
2K Views
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amesafirisha magari yake ya kifahari aina ya Rolls-Royce na Cadillac Escalade hadi Zanzibar. Magari hayo yanatarajiwa kutumika katika msimu huu wa...
7 Reactions
28 Replies
4K Views
Nasikia director mpya wa FBI ana asili ya Tanzania. Ndugu yetu kabisa🙂. Ni watu gani wengine maarufu wana asili ya Tanzania. 1. Freddie Mercury. Alikuwa muimbaji wa bendi ya muziki ya Queen...
7 Reactions
69 Replies
4K Views
Mwimbaji wa R&B Roberta Flack, anayejulikana zaidi kwa nyimbo "The First Time Ever I Saw Your Face" na "Killing Me Softly With His Song," ameafariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. "Tuna huzuni...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, Hivi ndio kusema kwamba amezidiwa na mapenzi au ndo muziki unaanza kumtupa mkono? Simba aliachia Komasava Mei 2024 na tangu hapo hakuna project ya maana aliyoitoa. Ametoa ngoma 4 ambazo...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki wa Rhumba hasa kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, bila shaka utakuwa umewahi kumsikia sana ‘pedeshee’ Eric Mandala. Lakini je, unamjua huyo Mandala...
6 Reactions
79 Replies
6K Views
Bi Khadija ndio msanii wangu pendwa wa muda wote, toka enzi za TOT tunavimba nae. Mwananyamala bi Khadija hana shida na mtu yeye ni mpole si chakaramu kama umuonavyo jukwaani alikuwa vizuri na...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong...
50 Reactions
362 Replies
14K Views
Mtoto wa kiume wa Vanesa Mdee (Vee Money). Shikamoo wee jamaa wewe mlamba lips
10 Reactions
82 Replies
7K Views
Wakuu Chawa wa Rais Samia, maarufu Mwijaku ameungana na baadhi ya Wananchi wa Muheza kupiga deki barabara akidai ni ishara ya upendo kwa Rais Soma, Pia: DC wa Ilala na Mwijaku wasema kampeni ya...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Unaacha wanawake kariba ya Zari unaenda kudeti na kuku wa kienyeji asiyemudu hata kulipa kodi ya chumba sebule Tabata. Mwanamke mjinga asiyejua kalenda zake,mwanamke unatoka nae bongo mpaka South...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
1. Alpha Blondy alizaliwa Seydou Koné mnamo Januari 1, 1953 huko Dimbokro, Ivory Coast. 2. Anajulikana kama mmoja wa waanzilishi wa muziki wa reggae wa Kiafrika na amekuwa akifanya kazi katika...
19 Reactions
70 Replies
3K Views
Mbaya zaidi kashona had sale na Lokole
9 Reactions
100 Replies
4K Views
8.2.2025 pale kwa Tata Madiba, Zero Brainer alishinda TUZO ya mtengeneza maudhui bora ya michezo wa mwaka kutoka TIKTOK. Tuzo hii ililipa TAIFA la Tanzania heshima kubwa sana, alikuwa anashindana...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
Wakuu Fundi wa ball ashavuta jiko Aziz Ki amekamilisha kiapo cha ndoa msikitini na rasmi ni mume wa Hamisa Mobetto. Soma, Pia Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30...
14 Reactions
131 Replies
6K Views
Wakuu, Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok. Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini...
8 Reactions
46 Replies
4K Views
Aman iwe kwenu akina mama na akina Baba wote wa jamiiforum Huko kwa wakuitwa TIWA SAVAGE kimeumana Baada ya mchepuko kumpiga sound naye akajaa leo ndo kaanza kulia Lia na kumkumbuka mume wake wa...
17 Reactions
105 Replies
6K Views
Hayawi hayawi sasa yatakuwa kwa yule mrembo wa Tanzania Wema Sepetu. Yale ambayo yatafurahisha wapenzi wa mlimbwende huyu yanakwenda kuwa. Ni yapi hayo! Ni Yale ya kuvaa shela jeupe tena na ndoa...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom