MFANYABIASHARA maarufu wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ mchana wa leo Jumamosi alisimamisha shughuli katika maduka yaliyopo Mlimani City alipokwenda kuzindua duka jipya la samani, Danube.
VIDEO...
Mabinti maceleb wa kitanzania wanatakiwa kujifunza kutoka kwa Zari.
1) kuwa na mahusiano kwa malengo
2) kuzaa kwa malengo
3) kujua kutumia fursa ya mwanaume uliye naye.
Leo mtu anatoka anandika...
Mambo vipi wadau. Mimi naitwa Snitch2020
Katika pita pita yangu kwenye motandao nlikutana na video ikimuonesha Gigy akiclaim kuwa Kuna nywele alizinunua M6. Kiukweli imenishangaza ana lakini baada...
Habari,
Msanii wa mziki wa kizazi kipya aliyetamba na wimbo wa Nitarejea alioshirikishwa na Diamond, Hawa Said ameangukia mikononi mwa wachungaji wapiga dili ili wamuombee baada ya kuathirika...
Calisah amethibitisha yeye anatoa huduma ya kuzalisha wanawake wenye Pesa, kwa sababu wanawake wengi wanapenda alivyo handsome Kwahiyo mbegu yake ni dili. Kwa mwanamke unayetaka mnakubaliana...
Sema korede bello kidogo amvue kofia mdogo wngu harmonize, maana kanaimba kama hakataki lakini shughuli yake sasa ni mtafutano. But all in all very fantastic song, congrats sana mdogo wangu...
Mama watoto wa Mwanamuziki Diamondplutnamz, Zari. Mchana wa Leo alisimamisha shughuli katika maduka yaliyopo Mlimani City Jijini Dar es salaam ,alipokwenda kuzindua Duka jipya la samani, Danube...
Habari wanafamilia JF.
A couple of days back, I was watching some local news streams... nikawa namuona several times... and I was like ooh huyu binti why nisim-link to BBC Swahili or MTV Base S.A...
Mashabiki wa Diamond platnumz hawataki mahusiano yao na zari yaishe, Hii imethihirika baada ya mashabiki wa diamond kumuombea msamaha kwa zari alipokua GSM mall.
Lakini naona kama Zari...
Msanii wa muziki wa Injili, Emanuel Mbasha ambaye wengi humsifia kwa utanashati wake, amesema anamshukuru Mungu kwa kuonyeshwa kupendwa, baada ya mabinti wengi kumtamani kimapenzi.
Akiongea na...
habari wadau.
mimi ni shabiki mkubwa wa diamond platnumz.. na wcb kwa ujumla..
kuna mtu hasikiki sana anaitwa mwarab fighter.. huyu jamaa anajua sana kutimiza majukumu yake..
niliangalia video...
Habari wadau..
Zari kaja Tanzania kuzindua duka la gsm..
Ushauri tu kwa diamond na wcb management.. mtumie hiii fursa kupata kiki na kupiga hela...
Nawaza tu kama diamond akaenda mcity leo na...
Ni kweli anaolewa mwezi ujao na siku ya posa ilishapita zamani,
Anaolewa na mwanaume wa kenya mombasa, nakutakia majukumu mema kwa ndoa yako.
Magume gume yamebaki mtaani khaaa!!!!!
Jina lake...
Mambo vipi wadau?
Leo asubuhi wakati nawasha redio nikasikia wimbo mpya wa Aslay unapigwa Clouds. Baada ya wimbo kuisha nikasikia Fredwaa akisema kuwa Dogo amesajiliwa kwenye Lebo ya Alikiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.