Snitch2020
Member
- Aug 24, 2017
- 77
- 91
Mambo vipi wadau?
Leo asubuhi wakati nawasha redio nikasikia wimbo mpya wa Aslay unapigwa Clouds. Baada ya wimbo kuisha nikasikia Fredwaa akisema kuwa Dogo amesajiliwa kwenye Lebo ya Alikiba pamoja na msanii mwingine anayeitwa Jokate.
Ni jambo zuri sana japo sijaelewa mustakabali wa wale wasanii anaowasimamia mwenyewe Aslay watakuwa chini ya nani ama atamuvu nao kwa Kiba?
-------------
More details (updated by mods)..
Alikiba afunguka kuhusu kumsaini Jokate kwenye lebo yake na Aslay kujiunga Rockstar 4000
ASLAY: Sitegemei kuwa chini ya WCB wala Rockstar, nataka kuwa Mkubwa zaidi yao
CREDITS: Bongo5 & PerfectoTv
Leo asubuhi wakati nawasha redio nikasikia wimbo mpya wa Aslay unapigwa Clouds. Baada ya wimbo kuisha nikasikia Fredwaa akisema kuwa Dogo amesajiliwa kwenye Lebo ya Alikiba pamoja na msanii mwingine anayeitwa Jokate.
Ni jambo zuri sana japo sijaelewa mustakabali wa wale wasanii anaowasimamia mwenyewe Aslay watakuwa chini ya nani ama atamuvu nao kwa Kiba?
-------------
More details (updated by mods)..
Alikiba afunguka kuhusu kumsaini Jokate kwenye lebo yake na Aslay kujiunga Rockstar 4000
ASLAY: Sitegemei kuwa chini ya WCB wala Rockstar, nataka kuwa Mkubwa zaidi yao
CREDITS: Bongo5 & PerfectoTv