Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hivi jamani mbona katika tafuta tafuta yangu, sijaona hata picha za moshi za hilo jengo likiungua, pale si kuna CCTV camera (refer tukio la makonda) , ila nina taarifa sio rasmi lkn inasemekana...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Mtanange huu ulianza hapo jana pale ambapo TvE/Efm walipotoa tangazo la Ssebo kuzungumza leo na Clouds nao wakapandisha Ruge kuzungumza muda uleule wa Watani wao wa Jadi! Nimepata butwaa kusikia...
29 Reactions
259 Replies
28K Views
Wakuu jana ilikua ni siku ya kizaliwa ya msanii kutoka kundi lililofahamika kama TMK 'Amani Temba' maarufu kama Mh Temba,katika kuufahamisha umma kuhusu siku yake hiyo pendwa alisikika kwenye...
7 Reactions
67 Replies
23K Views
Jana Hamisaa alionekana ndani ya Pipa from Dubai to Tanzania tayari kwa uzinduI wa filamu aliyoshiriki kuigiza ya Zero P. Hivi kwa sasa Diamond yuko Pande zipi za dunia? Naomba nijibiwe jamani
1 Reactions
128 Replies
19K Views
Katika hili la mzazi wake wa kiume mimi binafsi limenigusa hasa kwa imani yangu ya dini. Siwezi kuhukumu moja kwa moja kwa maana sijui chanzo cha ugomvi wao wala status yao kwa sasa na pia MIMI SI...
13 Reactions
130 Replies
14K Views
Wameimba live wakiwa wanahojiwa asubuhi kwenye kipindi clouds fm. Vijana wanajua kusema kweli
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Salamu. Hivi hili neno Kipusa siku hizi limebadilika maana yake?. Nifahamuvyo mimi nifahamuvyo maana yake kwa mujibu wa TUKI ni: .kipusa nm vi- [ki-/vi-] rhino horn. 2 (sio rasmi) beautiful...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Watu wanasemaga Hamisa ni mnafiki nikajua wanamsingizia, jana ndo nimeamini, huu ukaribu wa Hamisa na mama Kanumba umeanza lini? Hamisa alimpost Lulu akiwa jela na kumpa pole, leo anaonekana na...
6 Reactions
51 Replies
11K Views
Ukweli wasanii wengi ni feki kuanzia lifestyle zao, uvaaji, maadili yao na pia muziki wao wa kuiga nchi za nje na inafikia hatua wanaiba tune,beat hadi nyimbo nzima wanaibadili kwa kiswahili ili...
0 Reactions
2 Replies
968 Views
MICHORO ya mwilini inayofahamika kama ‘Tattoo’ imekuwa ikitumiwa na watu mbalimbali katika kuhifadhi kumbukumbu ya vitu ambavyo mchorwaji anakuwa amavidhamiria kuviweka kwenye mwili wake. Tattoo...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Mrembo mwenye shepu ya kuvunja chaga wa bongo Sanchoka amesema katika malezi yake hajawahi wala hajui namna ya kupika ugali. Sanchoka anasema ugali kula najaribu ila kupika sijui kabisa Mrembo...
3 Reactions
92 Replies
17K Views
Katika siku za hivi karibuni kuna picha ya kijana ambayo inaenea mtandaoni wakidai kuwa ni dk shika enzi zake alipokuwa angali kijana ,huu ni upotoshaji mkubwa sana tena mbaya zaidi umefanywa na...
4 Reactions
57 Replies
13K Views
Huku akiendelea kujitibu ugonjwa wa Kansa msanii @bankywellington afunga ndoa ya kimila na mpenzi wake @adesuaetomi
1 Reactions
5 Replies
2K Views
kila wimbo anaotoa nandy mkali, anayemwandikia nyimbo na melody anamjulia maana hakosei. Nimesikiliza ngoma yake mpya ya kivurugwe kwakweli nzuri. Wajua unaweza kuwa wajua kuimba una sauti nzuri...
4 Reactions
40 Replies
12K Views
Habari wanajukwaa. Wasanii nguli walio pia wanasiasa, Joseph Haule na Joseph Mbilinyi wanapambanishwa ndani ya radio one nani zaidi jumapili hii. Muda huu watu wanapiga simu kutoa maoni nani...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Ruge, sikia kilio chetu Sisi wapenzi wa Fiest tunahitaji Dr Shika awepo siku ya Fiesta. Mnazima taa, muziki unazimwa. Panakuwa kimyaaaaaaaa Mkija kuwasha taa raia wanamuona Dr Shika juu ya...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Nimesikitika sana jana nilipokuwa namsikiliza mama kanumba akiwa anahojiwa na kwisa na soudy brown katika kipindi cha shilawadu...akidai kuwa Lulu alishawahi kumuita "kubwa jinga" na pia kufanya...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Kwa ufupi Asema atakuwa huru baada ya kutumikia adhabu hiyo kwa sababu ni mipango ya Mungu By Kalunde Jamal, Mwananchi Imeelezwa kuwa baada ya msanii Elizabeth Michael kusomewa hukumu ya...
11 Reactions
131 Replies
16K Views
Nilifikiri vijana kama Barnabas wameshafunguka kimaisha na has a kuhusu fashion. Nilichokiona kama hakikufanywa kwa makusudi basi ni ushamba wa hali ya juu kwa B boy. Kavaa kitop cha kike, au ni...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani kwani hatujui kuwa mastaa wengi wa kike bongo walikua na ndoto ya kuzaa na diamond? Sio WEMA, UWOYA, LULU, JOKATE, WOLPER, TUNDA, AUNTY EZEKIEL na mastaa wengine kibao walikua wanalilia...
9 Reactions
14 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…